Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,320
- 35,823
Wa mwisho kujua wapii wakati unakwepa majukumu binamu wangu .....
Lakini sawa ntafanyajee mimi nshaziandaa zawadii
Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
Majukumu siwezi kuyakwepa maana kuna wengine wakiniona navyomzimia wanaweza wakadhani mbinu mbadala zimetumiaka kumbe ni L. O. V. E ndo imetawala kwangu kwake.
Sasa wewe andaa zawadi nakuja kuzichukua nizipeleke maana huchelewi kutake advantage, na risiti nipatie kabisa ukose sababu