Me ni mwanae ikinifaa atanipa na mm....wewe naye bhana, sijui wa wapi. Zawadi apewe yeye kuuliza uulize wewe, unataka akugaie
Nalifahamu hiloMnooo
.....nilijua anaipenda ndo maana nikaachana na ile uliyoomba. Nadja nyimbo nzima wanachezesha miguu tu wakati watu tunafuatiliaga mauno.
Anko wangu Lyon Lee ndo kaandika hayo ya juu

Na ni kweliiUsishangae mjomba, aunt keshashinda Biko kwa hiyo utaitwa jina lolote linalokuja
Kweli nimeshinda biko leoNa ni kwelii
HongeraaaKweli nimeshinda biko leo
Mama ndio nyama gani hiyo
@Yeth lotah alonso bado hajaachiwa?
SanteeeeHongeraaa
Hiyo nyama ulilishwaje sasa kwa njia ya ulimi au.....unashangaa samaki kuogelea au umeona pikipiki inarudi rivasi
French kissMama ndio nyama gani hiyo