Na mm najua hivo kwako haiwez tokeaaa ...mama pedesheee sasa y umeamua kutoa sadaka kwa mhindiiiKwani kubet ni vyuma kukazasasa mbona kwangu hakuna dalili ya vyuma kukaza nataka tu nicheze tu kama biko
Wewe cheka tu nakuambia,
Next stop ntakukuta Casino unacheza Poker na wakina Mzee Kusaga!
Halafu umebet nyumba yenu......teh teh teh
Mbona nikicheza biko hushangaiNashangaaaa kabisaaa
Mm sasa nataka nijifunze nijueSijawahiii na kwanza sijui jinsi ya kubet
Kawaida tu kutoa sadaka Ila watu wanashinda sana jamanNa mm najua hivo kwako haiwez tokeaaa ...mama pedesheee sasa y umeamua kutoa sadaka kwa mhindiii
nakuogopa casino na ujanja wangu sijawahi ingia nina best friend wangu anafanya kazi casino ananipa Ty habari za huko
Nakulaje sijajua bado kucheza jana nafundishwa hapa watu wanaingilia kati kunicheka naelewaje sasa yaan sijui chochoteushakulaa ngapiii
Mna dhambi nyieHahahahahha mkuuu ebhu kuwa siliasiii make hapa nimepiga picha kibonge shunie yuko juu ya paa la nyumba anacheza na satellite finder
Nakuonea huruma kuumiza kichwa mara nan ashindee na uanze kufatilia mechii au unabet za man uKawaida tu kutoa sadaka Ila watu wanashinda sana jaman
Kwahiyo kubet sio bora sasa mbona watu wanafananisha biko sawa na kubet au tatu mzukalakin biko boraa
Rafki yakoo huyooo ndo kayasemaaMna dhambi nyie
Nakulaje sijajua bado kucheza jana nafundishwa hapa watu wanaingilia kati kunicheka naelewaje sasa yaan sijui chochote
Kwahiyo kubet sio bora sasa mbona watu wanafananisha biko sawa na kubet au tatu mzuka
Yaan nilikua serious nilijisajili sportpesa nikaambiwa wanakata kodi kama DCM la mbagala nikaambiwa niingie mbet ndio nikashindwa kuelewa darasa app bado ninayo sijaifuta
Hivi kweli ulikuwa siliasiii??
Siwezi kuingia kama nilishindwa ingia enzi za ujana na uzee huu siweziSasa kwa mwendo huu kufikia 2021 hivii,
Wewe utakuwa unaingia mle ndani kama chumbani kwako.