Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Likizo Imeisha

Nimekaa wakati nataka kuanza kuandika kipengele hiki leo, nilitaka nibadili style yangu ya kuandika lakini nikasita kidogo. Ieleweke kwanza kabla sijakusalimia na kukuambia namna nilivyoimaliza likizo yangu vizuri huku kijijini. Kubadili kitu si jambo baya na ndiyo maana wengine tunapouanza mwaka huwa tunaamua kubadili baadhi ya vitu vyetu vya ndani na vya nje. Naamini unanielewa na kama kunielewa ni ngumu basi usikonde maana frahiday si siku unayotakiwa kuifanya kuwa ngumu sana.

Mara ya mwisho naandika hapa hadi unaponisoma leo zimepita text 611, na nimezisoma zote na sikuweza kuchangia kutokana na changamoto ya mtandao na mambo kama hayo na nikiungana na mdau uliyeshangaa kuwepo kwa post 11 tu kwa siku basi Makapuku hebu tutoke tulipo, turudi tulisongeshe group letu. Asante kwa wote mnaozidi kulisongesha.
Muziki sasa, leo narudi zamani na zamani kwangu naliangalia gitaa na 'utamu' linaoleta kwenye muziki. Nikutakie wikend njema na nikukumbushe tu, likizo imeisha

 
Muziki: Likizo Imeisha

Nimekaa wakati nataka kuanza kuandika kipengele hiki leo, nilitaka nibadili style yangu ya kuandika lakini nikasita kidogo. Ieleweke kwanza kabla sijakusalimia na kukuambia namna nilivyoimaliza likizo yangu vizuri huku kijijini. Kubadili kitu si jambo baya na ndiyo maana wengine tunapouanza mwaka huwa tunaamua kubadili baadhi ya vitu vyetu vya ndani na vya nje. Naamini unanielewa na kama kunielewa ni ngumu basi usikonde maana frahiday si siku unayotakiwa kuifanya kuwa ngumu sana.

Mara ya mwisho naandika hapa hadi unaponisoma leo zimepita text 611, na nimezisoma zote na sikuweza kuchangia kutokana na changamoto ya mtandao na mambo kama hayo na nikiungana na mdau uliyeshangaa kuwepo kwa post 11 tu kwa siku basi Makapuku hebu tutoke tulipo, turudi tulisongeshe group letu. Asante kwa wote mnaozidi kulisongesha.
Muziki sasa, leo narudi zamani na zamani kwangu naliangalia gitaa na 'utamu' linaoleta kwenye muziki. Nikutakie wikend njema na nikukumbushe tu, likizo imeisha


Asante Obe ubarikiwe
 
ISAYA 49

15.Lakini Mwenyezi Mungu asema:"Je mama aweza kumsahau mwanawe anayenyonya,
asimwonee huruma mtoto wa tumbo lake?

Hata kama mama aweza kumsahau mwanawe ,mimi kamwe siwezi kukusahau.


USIKU MWEMA MUNGU AWABARIKI DAMU YA YESU ITUFUNIKE MBARIKIWE
MUNGU HATAWASAHAU
 
TUOMBE
Mwenyezi Mungu Mtakatifu, Mfalme wa wafalme,Baba wa Milele,Mshauri wa Ajabu,Mungu mwenye Nguvu Asante kwa kutufikisha siku hii ya leo JU JUMAPILI YA KWANZA YA MWAKA ,7 JANUARI 2018 salama wako wengi walitamani kuiona siku ya leo hawajaweza sisi ni nani Baba Mtakatifu
Tunakushukuru kwa sababu Upendo wako ni mkuu kwetu, Kwa sababu unatulinda na kutuongoza, Kwa sababu unatupigania, Kwa sababu Unaweza yote,Unajua yote,Upo kila mahali. Mungu wetu tunaomba usinyamaze kila tukuitapo sisi peke yetu hatuwezi.
Tupiganie katika kila Jambo,Tufundishe,tushauri na kuturudi tunapokukosea. Mungu bariki Afya,Kazi,kusudi,Uchumi na Imani zetu.
Waponye wagonjwa wote Baba majumbani na mahospitalini,
fariji wafiwa wote wape faraja yako popote walipo,angalia wajane,wagane,
yatima Baba wape hitaji la mioyo yao,wasaidie wote wanaopitia changamoto mbalimbali.
Wasaidie wasafiri wote kokote waendako majini,nchi kavu na angani waende na kurudi salama..ponya mioyo yote inayotaabika kwa huzuni ,taabu na dhiki ,mateso tuongezee imani Baba tukuangalie wewe tu maana wewe Baba hukawii wala huwahi jibu lako ni ndiyo.Roho Mtakatifu kaa nasi siku zote za maisha yetu.
Ni katika Jina la Yesu tunaomba tukiamini na kushukuru Amina.


JUMAPILI YA KWANZA 2018 NJEMA,MUNGU AONEKANE KWETU KATIKA IBADA ZOTE SIKU NJEMA MBARIKIWE.
 
ZABURI 65

1.Wastahili sifa,ee Mungu wa Siyoni watu watakutimizia wewe ahadi zao.

2.Maana wewe wajibu sala zetu .Binadamu wote watakujia wewe.

3.Tunapolemewa na makosa yetu ,wewe mwenyewe watusamehe.
 
TUOMBE
Mwenyezi Mungu Mtakatifu, Mfalme wa wafalme,Baba wa Milele,Mshauri wa Ajabu,Mungu mwenye Nguvu Asante kwa kutufikisha siku hii ya leo JU JUMAPILI YA KWANZA YA MWAKA ,7 JANUARI 2018 salama wako wengi walitamani kuiona siku ya leo hawajaweza sisi ni nani Baba Mtakatifu
Tunakushukuru kwa sababu Upendo wako ni mkuu kwetu, Kwa sababu unatulinda na kutuongoza, Kwa sababu unatupigania, Kwa sababu Unaweza yote,Unajua yote,Upo kila mahali. Mungu wetu tunaomba usinyamaze kila tukuitapo sisi peke yetu hatuwezi.
Tupiganie katika kila Jambo,Tufundishe,tushauri na kuturudi tunapokukosea. Mungu bariki Afya,Kazi,kusudi,Uchumi na Imani zetu.
Waponye wagonjwa wote Baba majumbani na mahospitalini,
fariji wafiwa wote wape faraja yako popote walipo,angalia wajane,wagane,
yatima Baba wape hitaji la mioyo yao,wasaidie wote wanaopitia changamoto mbalimbali.
Wasaidie wasafiri wote kokote waendako majini,nchi kavu na angani waende na kurudi salama..ponya mioyo yote inayotaabika kwa huzuni ,taabu na dhiki ,mateso tuongezee imani Baba tukuangalie wewe tu maana wewe Baba hukawii wala huwahi jibu lako ni ndiyo.Roho Mtakatifu kaa nasi siku zote za maisha yetu.
Ni katika Jina la Yesu tunaomba tukiamini na kushukuru Amina.


JUMAPILI YA KWANZA 2018 NJEMA,MUNGU AONEKANE KWETU KATIKA IBADA ZOTE SIKU NJEMA MBARIKIWE.
ubarikiwe mama mchungaji
 
TUOMBE
Mwenyezi Mungu Mtakatifu, Mfalme wa wafalme,Baba wa Milele,Mshauri wa Ajabu,Mungu mwenye Nguvu Asante kwa kutufikisha siku hii ya leo JU JUMAPILI YA KWANZA YA MWAKA ,7 JANUARI 2018 salama wako wengi walitamani kuiona siku ya leo hawajaweza sisi ni nani Baba Mtakatifu
Tunakushukuru kwa sababu Upendo wako ni mkuu kwetu, Kwa sababu unatulinda na kutuongoza, Kwa sababu unatupigania, Kwa sababu Unaweza yote,Unajua yote,Upo kila mahali. Mungu wetu tunaomba usinyamaze kila tukuitapo sisi peke yetu hatuwezi.
Tupiganie katika kila Jambo,Tufundishe,tushauri na kuturudi tunapokukosea. Mungu bariki Afya,Kazi,kusudi,Uchumi na Imani zetu.
Waponye wagonjwa wote Baba majumbani na mahospitalini,
fariji wafiwa wote wape faraja yako popote walipo,angalia wajane,wagane,
yatima Baba wape hitaji la mioyo yao,wasaidie wote wanaopitia changamoto mbalimbali.
Wasaidie wasafiri wote kokote waendako majini,nchi kavu na angani waende na kurudi salama..ponya mioyo yote inayotaabika kwa huzuni ,taabu na dhiki ,mateso tuongezee imani Baba tukuangalie wewe tu maana wewe Baba hukawii wala huwahi jibu lako ni ndiyo.Roho Mtakatifu kaa nasi siku zote za maisha yetu.
Ni katika Jina la Yesu tunaomba tukiamini na kushukuru Amina.


JUMAPILI YA KWANZA 2018 NJEMA,MUNGU AONEKANE KWETU KATIKA IBADA ZOTE SIKU NJEMA MBARIKIWE.

...asante kwa kutukumbusha kuhusu Jpili ya kwanza 2018. Na zaidi asante kwa ku(ni)tuweka katika maombi na sala zako za kila wakati. Amen
 
JUMAPILI YA KWANZA 2018 NJEMA,MUNGU AONEKANE KWETU KATIKA IBADA ZOTE SIKU NJEMA MBARIKIWE.[/QUOTE]

f50a0d625cdef89f011d30afd196072f-rimg-w400-h300-gmir.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom