Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Muziki: Likizo Imeisha
Nimekaa wakati nataka kuanza kuandika kipengele hiki leo, nilitaka nibadili style yangu ya kuandika lakini nikasita kidogo. Ieleweke kwanza kabla sijakusalimia na kukuambia namna nilivyoimaliza likizo yangu vizuri huku kijijini. Kubadili kitu si jambo baya na ndiyo maana wengine tunapouanza mwaka huwa tunaamua kubadili baadhi ya vitu vyetu vya ndani na vya nje. Naamini unanielewa na kama kunielewa ni ngumu basi usikonde maana frahiday si siku unayotakiwa kuifanya kuwa ngumu sana.
Mara ya mwisho naandika hapa hadi unaponisoma leo zimepita text 611, na nimezisoma zote na sikuweza kuchangia kutokana na changamoto ya mtandao na mambo kama hayo na nikiungana na mdau uliyeshangaa kuwepo kwa post 11 tu kwa siku basi Makapuku hebu tutoke tulipo, turudi tulisongeshe group letu. Asante kwa wote mnaozidi kulisongesha.
Muziki sasa, leo narudi zamani na zamani kwangu naliangalia gitaa na 'utamu' linaoleta kwenye muziki. Nikutakie wikend njema na nikukumbushe tu, likizo imeisha
Nimekaa wakati nataka kuanza kuandika kipengele hiki leo, nilitaka nibadili style yangu ya kuandika lakini nikasita kidogo. Ieleweke kwanza kabla sijakusalimia na kukuambia namna nilivyoimaliza likizo yangu vizuri huku kijijini. Kubadili kitu si jambo baya na ndiyo maana wengine tunapouanza mwaka huwa tunaamua kubadili baadhi ya vitu vyetu vya ndani na vya nje. Naamini unanielewa na kama kunielewa ni ngumu basi usikonde maana frahiday si siku unayotakiwa kuifanya kuwa ngumu sana.
Mara ya mwisho naandika hapa hadi unaponisoma leo zimepita text 611, na nimezisoma zote na sikuweza kuchangia kutokana na changamoto ya mtandao na mambo kama hayo na nikiungana na mdau uliyeshangaa kuwepo kwa post 11 tu kwa siku basi Makapuku hebu tutoke tulipo, turudi tulisongeshe group letu. Asante kwa wote mnaozidi kulisongesha.
Muziki sasa, leo narudi zamani na zamani kwangu naliangalia gitaa na 'utamu' linaoleta kwenye muziki. Nikutakie wikend njema na nikukumbushe tu, likizo imeisha

WARUMI 8