Makapuku Forum

Kama ulipata mda wa kumsifia huyo na lyon ukamtelekezaaa huku akichambwa na makapuku ...


Inshort alipambana na hali yake
Jamani
kaaah...walimchamba kisaa?wakati na wao yao yanawashinda kuutwa kuangalia ya wenzao looh,kwahiyo nayeye akasikiiza mfyuuu
 
Reactions: Lee
Zaburi - 16

1 .Mungu, unihifadhi mimi, Kwa maana nakukimbilia Wewe.
2 .Nimemwambia Bwana, Ndiwe Bwana wangu; Sina wema ila utokao kwako.

MCHANA MWEMA WAPENDWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…