Makapuku Forum

Makapuku Forum

TUOMBE

Baba katika Jina la Yesu Kristo Asante kwa siku mpya ya Jumamosi tarehe 30 DESEMBA
2017 ambayo umetuchagua tena tuweze kuuona Utukufu wako

watu wengi walitamani nafasi hii hawajaweza kuiona siku ya leo uliwatwaa Baba tunaomba uwapokee wapumzike kwa Amani.

Karibu Roho Mtakatifu shusha Mapaji tuwe Imara siku ya leo

BABA Tunakuomba Utusamehe makosa yetu yote ambayo tumetenda kwa mawazo kwa maneno kwa matendo na kutotimiza wajibu wetu mbalimbali tulionao

Uturehemu twakusihi Baba yetu

Tunaomba utusaidie kuwasamehe wale wote waliotukosea Mfalme wa Amani walioomba msamaha na wale ambao hawajaomba msamaha tuwasamehe na kuyasahau yote waliyotutendea

Wabariki wote katika Ndoa zetu na nyua zetu familia zetu czzz Waume Wake Watoto Wasaidizi wa ndani Ndugu Jamaa Marafiki Wachumba wakutafute wewe Baba

Bariki Watumishi wote wa Mungu wote ulimwenguni uwaandae Baba wakalishe Waumini kinachokupendeza na ukaonekane kwa watu wote katika huduma

Bariki viongozi wa Serikali wakutafute kwa
Bidii Nchi iwe na Amani wakatende haki na kuwa na hofu yako Baba.

Baba Ponya Wagonjwa na ponya dawa wanazotumia na wanawauguza waweze kutoa huduma kwa Upendo wasipungukiwe.

Tunakushukuru kwa uponyaji unaoendelea Baba kwa wagonjwa wetu wote tunaomba afya zao zizidi imarika

Walinde wajawazito wote na wanaojifungua Baba umewapa kibali cha kushiriki kazi ya uumbaji kila walichobeba ni wazo lako Baba tunaomba wawe salama mikononi mwako wao na viumbe ulivyowakabidhi mfalme wa Amani
Asante kwa uwepo wako katika vipindi vyote vya uumbaji na ushiriki wao

Baba Bariki wasafiri na vyombo Majini Nchi Kavu na hata Angani ukawe Dereva mwema Damu ya Yesu itufunike tuendako na tunakotoka

Baba wafariji Wafiwa Wajane Wagane Yatima Wafungwa Mahabusu Wenye huzuni na wahitaji wote Walioachwa Waliotelekezwa wasio na chakula Waliodhurumiwa wakuangalie na kukutegemea wewe tu maana imeandikwa Heri aliyemfanya Bwana kuwa Tumaini lake

Baba tunaomba Ubariki Sadaka zetu na matoleo mbalimbali tutakayokutolea na kabla hatujakutolea Basi Baba Tupatane na Wenzetu Tuwasamehe Tuwapende na Kuwaheshimu.

Epusha Wivu Visasi Masengenyo Chuki Dharau Kiburi Kujisahau na Majivuno ili Sadaka zetu Zikakubalike mbele yako ziwe za Kukupendeza Mfalme wa Amani

Bariki kila kazi za mikono yetu ziwe Halali na za kukupendeza

Baba mwema tunausubiri mwaka mpya tunaomba neema yako tufike salama .

Baba Asante kwa Sababu Unatupenda na utajibu sawasawa na mapenzi yako Amen

Tunaomba yote haya kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth Amen



JUMAMOSI NJEMA WAPENDWA

DAMU YA YESU ITUFUNIKE

SHALOM
 
TUOMBE

Baba katika Jina la Yesu Kristo Asante kwa siku mpya ya Jumamosi tarehe 30 DESEMBA
2017 ambayo umetuchagua tena tuweze kuuona Utukufu wako

watu wengi walitamani nafasi hii hawajaweza kuiona siku ya leo uliwatwaa Baba tunaomba uwapokee wapumzike kwa Amani.

Karibu Roho Mtakatifu shusha Mapaji tuwe Imara siku ya leo

BABA Tunakuomba Utusamehe makosa yetu yote ambayo tumetenda kwa mawazo kwa maneno kwa matendo na kutotimiza wajibu wetu mbalimbali tulionao

Uturehemu twakusihi Baba yetu

Tunaomba utusaidie kuwasamehe wale wote waliotukosea Mfalme wa Amani walioomba msamaha na wale ambao hawajaomba msamaha tuwasamehe na kuyasahau yote waliyotutendea

Wabariki wote katika Ndoa zetu na nyua zetu familia zetu czzz Waume Wake Watoto Wasaidizi wa ndani Ndugu Jamaa Marafiki Wachumba wakutafute wewe Baba

Bariki Watumishi wote wa Mungu wote ulimwenguni uwaandae Baba wakalishe Waumini kinachokupendeza na ukaonekane kwa watu wote katika huduma

Bariki viongozi wa Serikali wakutafute kwa
Bidii Nchi iwe na Amani wakatende haki na kuwa na hofu yako Baba.

Baba Ponya Wagonjwa na ponya dawa wanazotumia na wanawauguza waweze kutoa huduma kwa Upendo wasipungukiwe.

Tunakushukuru kwa uponyaji unaoendelea Baba kwa wagonjwa wetu wote tunaomba afya zao zizidi imarika

Walinde wajawazito wote na wanaojifungua Baba umewapa kibali cha kushiriki kazi ya uumbaji kila walichobeba ni wazo lako Baba tunaomba wawe salama mikononi mwako wao na viumbe ulivyowakabidhi mfalme wa Amani
Asante kwa uwepo wako katika vipindi vyote vya uumbaji na ushiriki wao

Baba Bariki wasafiri na vyombo Majini Nchi Kavu na hata Angani ukawe Dereva mwema Damu ya Yesu itufunike tuendako na tunakotoka

Baba wafariji Wafiwa Wajane Wagane Yatima Wafungwa Mahabusu Wenye huzuni na wahitaji wote Walioachwa Waliotelekezwa wasio na chakula Waliodhurumiwa wakuangalie na kukutegemea wewe tu maana imeandikwa Heri aliyemfanya Bwana kuwa Tumaini lake

Baba tunaomba Ubariki Sadaka zetu na matoleo mbalimbali tutakayokutolea na kabla hatujakutolea Basi Baba Tupatane na Wenzetu Tuwasamehe Tuwapende na Kuwaheshimu.

Epusha Wivu Visasi Masengenyo Chuki Dharau Kiburi Kujisahau na Majivuno ili Sadaka zetu Zikakubalike mbele yako ziwe za Kukupendeza Mfalme wa Amani

Bariki kila kazi za mikono yetu ziwe Halali na za kukupendeza

Baba mwema tunausubiri mwaka mpya tunaomba neema yako tufike salama .

Baba Asante kwa Sababu Unatupenda na utajibu sawasawa na mapenzi yako Amen

Tunaomba yote haya kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth Amen



JUMAMOSI NJEMA WAPENDWA

DAMU YA YESU ITUFUNIKE

SHALOM
Sala nzuri ajabu. Ubarikiwe mtumishi mwema !!!
 
Muziki: Hesabu Saa, Miaka Itakuchosha

...ni muda umepita Kapuku mwenzangu na leo ni Jumamosi ya mwisho kwa mwaka 2017, kuna mengi ya kutakari siku hii ambayo naamini kabisa umejipumzisha. Bado likizo inaendelea kwa wengi wetu, eeeh, likizo naamaanisha ya kazi, shule na vitu kama hivyo maana kuna mambo mengine hayana likizo hata uwe mjanja mjanja namna gani. Ukiyapa likizo tu, imekula kwako. Utakuja unalia sisi unatukuta tunatoa machozi.

Muziki sasa, Jumamosi maneno kidogo tu na muziki unafuata. Video hizi zilibamba sana hapa kwenye kipengele cha muziki. Furahia leo ni wikend ya mwisho 2017



 
Muziki: Hesabu Saa, Miaka Itakuchosha

...ni muda umepita Kapuku mwenzangu na leo ni Jumamosi ya mwisho kwa mwaka 2017, kuna mengi ya kutakari siku hii ambayo naamini kabisa umejipumzisha. Bado likizo inaendelea kwa wengi wetu, eeeh, likizo naamaanisha ya kazi, shule na vitu kama hivyo maana kuna mambo mengine hayana likizo hata uwe mjanja mjanja namna gani. Ukiyapa likizo tu, imekula kwako. Utakuja unalia sisi unatukuta tunatoa machozi.

Muziki sasa, Jumamosi maneno kidogo tu na muziki unafuata. Video hizi zilibamba sana hapa kwenye kipengele cha muziki. Furahia leo ni wikend ya mwisho 2017




Ahsante sana mtaasisi kwa burudani murua ya kusindikiza weekend ya mwisho wa mwaka 2017
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom