Amen! Nawe piaHeri ya siku kuu ya Christmas wana familia wote wa kapuku.... Yesu azaliwe mioyoni mwetu!!!!
Amen ..Haleluiya..HaleluiyaHeri ya siku kuu ya Christmas wana familia wote wa kapuku.... Yesu azaliwe mioyoni mwetu!!!!
MAOMBINawe pia ubarikiweMuwe na sikukuuu njema na mwaka mpya wa baraka wote.
HakikaHuyu Rais wa North Korea ashindwe kwa kuzuia RAIA wake kusherehekea krismasi
Amen barikiwa kakaMandalizi mema ya sikukuu ya kesho jina kila mtu analijua
Zaidi tujiandae mioyo yetu na tupate kutafakari yaliyo mema na kuyatenda mema
Kwa niaba ya wandali wote walio popote duniani tunawatakia sikukuu njema!!!!!
Asante Mbarikiwe(Color=purple)Familia ya bwana Shululu na mkewe Tumosa pamoja na watoto wao Johnson na Jackson wanawatakia kheri ya Krimasi na mwaka mpya makapuku wote
Amena asante nawe tena ubarikiweFamily, niwakati mwingine tena wa kumshuru Mungu kwa siku hii ya pekee na yenye maajabu yake pia,
Ikiwa ni jumapili nzuri ya kwenda makanisani kumrudushia sifa na shukrani Mungu wako basi nawasalimu..
tumsifu yesu kristu!
Bwana yesu asifiwe!
Mapendo mapendo!
Majeshi majeshi!
Utukufu kwa Bwana Yesu!
Kuweni na jumapili njema ndugu zangu!
Usiku mwema Makapuku, na kama usidhani nitaacha kuweka muziki wa Krismas. Leo zamani kidogo lakini bado ladha haijakwisha. Vipi, mmekamilisha manunuzi ya sikukuu, au ndo mambo yetu kina sisi wazee wa zimamoto
Asante ObeNa kwako pia mkuuMuwe na sikukuuu njema na mwaka mpya wa baraka wote.
Asante kwa neno la Noel mama mchungaji6 *Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia*,
Luka 2 :6
7 *akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.*
Luka 2 :7
8 * *Na katika nchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku*.
Luka 2 :8
9 *Malaika wa Bwana akawatokea ghafula, utukufu wa Bwana ukawang'aria pande zote, wakaingiwa na hofu kuu.*
Luka 2 :9
10 *Malaika akawaambia, Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote;*
Luka 2 :10
11 *maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo Bwana.*
Luka 2 :11
Asante, nawe piaHeri ya siku kuu ya Christmas wana familia wote wa kapuku.... Yesu azaliwe mioyoni mwetu!!!!
AmenMAOMBI
Yesu Tunakushukuru kukubali kuzaliwa ndani ya Mioyo yetu. Kwa ajili yako tumefika hadi siku hii ya leo. Karibu ndani ya Mioyo yetu wewe uliye mkombozi wa ulimwengu, mshauri wa Ajabu,Baba wa Milele na mfalme wa Amani. Utulinde na kutuongoza ili vitu vipya vya Kiroho vizaliwe maishani mwetu tuishi sawa sawa na kusudi lako. Ni katika Jina lako Yesu tunaomba Amina.
Na kwako pia mpendwaHeri ya siku kuu ya Christmas wana familia wote wa kapuku.... Yesu azaliwe mioyoni mwetu!!!!
Amen nawe ubarikiweAmen barikiwa kaka