Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Acha hizoNatumaje wakati ntakuja navyo ....
Au nitume kwanza alafu nije j5 kama nilivokuwa nimepanga?
Acha hizoNatumaje wakati ntakuja navyo ....
Au nitume kwanza alafu nije j5 kama nilivokuwa nimepanga?
Ok niko serious nakuja kweli na niamini ulivyoniomba nije navyo nazama soon kuvitafutaaa utapendaaAcha kunikomoa
Tuwe serious hebu
HahahaUsinifanyie hivo
Jana ulikuwa hupatikaniHahaha
Na wewe umekuwa muongo mno
Sio kwa kunikomesha hukoOk niko serious nakuja kweli na niamini ulivyoniomba nije navyo nazama soon kuvitafutaaa utapendaa
Labda nilikuwa poriniJana ulikuwa hupatikani
Mbona sikupata notificationJana ulikuwa hupatikani
MmmhUshaanza sasa
Ebhu nipigie kwanza
Si umwambie ukweli kwa nini ulizima simuLabda nilikuwa porini
Porini hiyo vepeeeLabda nilikuwa porini
Lee empire nshakuelewa mudaaa!!!Si umwambie ukweli kwa nini ulizima simu
Ndo naakushangaa sasaPorini hiyo vepeee
SawaNa usiamini kabisa
Wapi![]()
![]()
![]()
![]()
Sakayo ebhu tuonge vizuri nimekutumia tena ucheki kwanza
He heThe Drama rolls on!
Just watching you..
Mume wa shunie aliyetekwa eenhUmeonaeeeeee
Kuna venye na_connect dots!!!!! Huyo ni yule mume wa Shunie aki
Nimefanyaje tena mie
Ebu nipelekeni jamaan kunanifaa sana huko dooh kitu cha baridiiiiiKanisa hili shunie hawezi kubanduka
Hahahahaaaaa
Nimecheka huko nilikokuwa hadi basi.
Kuna kanisa huko south Africa wat wanakunywa beer wakati wa ibada. Kuanzia mchungaji hadi waumini.
Sass hili sio jambo la kufurahi ila mimi nimemkumbuka Shunie nikaanza kucheka tuu.
Hilo kanisa wakula Heineken tuu! Sijui wana share na heineken..
![]()
Shunie Twende zetu south basi![]()