Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahahaaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Nimecheka huko nilikokuwa hadi basi.

Kuna kanisa huko south Africa wat wanakunywa beer wakati wa ibada. Kuanzia mchungaji hadi waumini.

Sass hili sio jambo la kufurahi ila mimi nimemkumbuka Shunie nikaanza kucheka tuu.

Hilo kanisa wakula Heineken tuu! Sijui wana share na heineken..

e2241d71dfa816b97e524185746d821c.jpg


Shunie Twende zetu south basi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kanisa hili shunie hawezi kubanduka
 
Ukipata wanapogawa Supa mtindiz niite..
Hahahahaaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Nimecheka huko nilikokuwa hadi basi.

Kuna kanisa huko south Africa wat wanakunywa beer wakati wa ibada. Kuanzia mchungaji hadi waumini.

Sass hili sio jambo la kufurahi ila mimi nimemkumbuka Shunie nikaanza kucheka tuu.

Hilo kanisa wakula Heineken tuu! Sijui wana share na heineken..

e2241d71dfa816b97e524185746d821c.jpg


Shunie Twende zetu south basi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom