Zaburi 33:13-15
[13]Toka mbinguni BWANA huchungulia,
Huwatazama wanadamu wote pia.
[14]Toka mahali pake aketipo
Huwaangalia wote wakaao duniani.
[15]yeye aiumbaye mioyo yao wote
Huzifikiri kazi zao zote.
Mishe zinasonga na ukizingatia msimu huu mananasi yamejaa changanya na hali hii january hiyo vyuma vimekazana ....kwani kuna njaa kali mbele ya nanasi??