Makapuku Forum

Nawe pia mpendwa.
 
Nawe pia mpendwa, ubarikiwe pia.
 
Umenikumbusha mbali mnoo mkuu, hiki kiumbe sio kizur kabisa hiki..
Kuna wakati hata unaweza kusaili kama kweli kulikuwa na haja ya kuumba kiumbe kama hiki kwa sababu faida zake ni chache sana. Baadaye ukisoma wanasayansi na Ecology & Food chain yao ndo unaona kuwa kila kiumbe kina faida yake....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…