Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nitag jibu lakeIla wewe shunie una hasira za karibu na kwanini huwez kucontroll hasira zako mamii..
Nitag jibu lakeIla wewe shunie una hasira za karibu na kwanini huwez kucontroll hasira zako mamii..
Na huwezi kukosa bibie.. mapenzi ni sanaa na sanaa hii nimekubuhu..
Njoo ukoge mabusu ya paji la uso![]()
, nililambe n kulinyonya paji la uso mpaka machozi yakitoke..
kila mtu na maana yake jamani, tusisumbuane
![]()
![]()

Ni kweliNa uzuri hauna paka lazima binadamu ndo tunafundishana
Mkorogo napakaje mke mwee mtu mweusi kama rami si ndio mwanzo wa kuwa na rangi pepsi mirinda jamanUtapaka hata mkorogo ili tupate mapaund jamaani![]()
![]()
![]()
Ahahahhh hiyo Duh ishanikosesha mapound naona kukimbiwa kule mara paap siku ya siku kibonge cheusi hiki hapa mbele ya maka si utanikimbia wewe yaan naona kukimbiwa live

Pole sana maka nimecheka sana hiyo ya kutafuta mwenzaShemela we acha tu, nina maseke, siku ya leo ni mbovu hatari, leo asubuh kabisa trafiki wameninasa, narudi gari inanizimikia wese limekata.. baadae nimempa dada yangu karnda kugonga mwembe huko.. na mengine mengi makubwa zaidi ambayo hayasimuliki ni maseke bin maseke tu shemeji..![]()
![]()
![]()
Sasa hapa na umuhimubwa kuwa na mwenza unaonekana, mtu anaweza kujitia kitanzi hiv hiv kibwege kibwege
Ahahahh lipi tenaKwako!!
Leo nina gundu siku yangu mbovu, asije kunigeukia na mie bure..Ebhu mwambie asifanye hivo

Nimuombe msamaha nimemkosea nini mimi maka hizo mambo zishaisha za mastoryHhmm.. labda shunie wa photocopy, shunie akiamua lake kaamua. Wacha nijaribu labda aje lee empire hapa ndio itasaidia.
Sasa kamtafte alipo aje akuombe msamaha, ila mimi sina nafasi hyo kwa ndug yangu, mpaka niweze kumbadili.
Lolote lile.Ahahahh lipi tena
Toka lini umequote story binamu mpaka uwe wewe jamaan....afadhari sio mimi
Umecheka au umenicheka!!? Nielewe hilo kwanza.Pole sana maka nimecheka sana hiyo ya kutafuta mwenza
Ndio nipo hivyo makaIla wewe shunie una hasira za karibu na kwanini huwez kucontroll hasira zako mamii..
Ila wewe shunie una hasira za karibu na kwanini huwez kucontroll hasira zako mamii..
We kaa macho masuala ya kushtuana kama daku mwezi wa ramadhani leo siwez, subir ule daku ndio ukalale..Nitag jibu lake

He he.....pole, ujue hiki ulichokiadika hapa ndo nimepanga kukiandika kwenye muziki.
Mwenza ni muhimu usifanye mchezo, kuitwa beibe ni tiba halisi nyingine ujanja ujanja tu
Leo nina gundu siku yangu mbovu, asije kunigeukia na mie bure..![]()
![]()
![]()





kama nakuona nikikugeuka
Lipi sasaLolote lile.
Hofu yake tu, mie nimemwambia hvyo hvyo alivyo poa tuu, hataki.Utapaka hata mkorogo ili tupate mapaund jamaani![]()
![]()
![]()
Jitahid uweze kutawala hasira zako.Ndio nipo hivyo maka