Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwa nn kdg shemela
Shemela we acha tu, nina maseke, siku ya leo ni mbovu hatari, leo asubuh kabisa trafiki wameninasa, narudi gari inanizimikia wese limekata.. baadae nimempa dada yangu karnda kugonga mwembe huko.. na mengine mengi makubwa zaidi ambayo hayasimuliki ni maseke bin maseke tu shemeji..

Sasa hapa na umuhimubwa kuwa na mwenza unaonekana, mtu anaweza kujitia kitanzi hiv hiv kibwege kibwege
 
Shemela we acha tu, nina maseke, siku ya leo ni mbovu hatari, leo asubuh kabisa trafiki wameninasa, narudi gari inanizimikia wese limekata.. baadae nimempa dada yangu karnda kugonga mwembe huko.. na mengine mengi makubwa zaidi ambayo hayasimuliki ni maseke bin maseke tu shemeji..

Sasa hapa na umuhimubwa kuwa na mwenza unaonekana, mtu anaweza kujitia kitanzi hiv hiv kibwege kibwege
Pole sana mkuu
 
Shemela we acha tu, nina maseke, siku ya leo ni mbovu hatari, leo asubuh kabisa trafiki wameninasa, narudi gari inanizimikia wese limekata.. baadae nimempa dada yangu karnda kugonga mwembe huko.. na mengine mengi makubwa zaidi ambayo hayasimuliki ni maseke bin maseke tu shemeji..

Sasa hapa na umuhimubwa kuwa na mwenza unaonekana, mtu anaweza kujitia kitanzi hiv hiv kibwege kibwege

.....pole, ujue hiki ulichokiadika hapa ndo nimepanga kukiandika kwenye muziki.
Mwenza ni muhimu usifanye mchezo, kuitwa beibe ni tiba halisi nyingine ujanja ujanja tu
 
Maka sio nongwa serious siweki yeye na sakayo wanafanya maksudi ya kuquote story tena lyon ndio alianza kuquote kesho yake sakayo akamwita eti kamlipizia tuliongea sana hawaelewewi wanafanya ndio mchezo wao hapana jaman
Ila wewe shunie una hasira za karibu na kwanini huwez kucontroll hasira zako mamii..
Maka sio nongwa serious siweki yeye na sakayo wanafanya maksudi ya kuquote story tena lyon ndio alianza kuquote kesho yake sakayo akamwita eti kamlipizia tuliongea sana hawaelewewi wanafanya ndio mchezo wao hapana jaman
Ila wewe shunie una hasira za karibu na kwanini huwez kucontroll hasira zako mamii..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom