Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
ngoja nitembee tu
ngoja nitembee tuThnx lovely husband, nakupenda tetra wanguMay God be with you sweetheart!
Amina my dearKila la kheri ndugu yangu.. allah akufanyie wepesi.
Much love to you wifeyThnx lovely husband, nakupenda tetra wangu
Ahsante mpenziKila lakheri
Tembea tu mume wangu, usije umia bure![]()
ngoja nitembee tu
Baby nimemiss sauti yako, njoo basiMuch love to you wifey
Hahaha, sauti yangu ipo inboboBaby nimemiss sauti yako, njoo basi
Naombeni maombi yenu wapendwa, naingia kwenye paper leo hii
Kwa penati shemeji..Mmeshindaje humu ndani jamani
Pepa ilikuwaje!?Amina my dear
Njoo inbobo kipenzi changuHahaha, sauti yangu ipo inbobo
....ili nifanye maombi specific, nikuombee ufanikiwe paper ya nini?
Umejiandaa kuifanya na kama umeifanya all the best
nafanya pepa ya electrical installation![]()
![]()
nafanya pepa ya electrical installation
...oh, hiyo ngumu sana upande wangu kwa hiyo hata maombi yangu yatakuwa magumu kukufanya ufanikiwe. Wanaoijua hiyo EI watakuwa washakuombea. Ukimaliza paper na ukaanza kufanya you know, like internship, nitakuomba uje unifanyie wiring (ina tofauti na EI?) kwenye kibanda changu , umeme wa REA unakuja
shemela wewe sio mtu mzuri ujuePepa ilikuwaje!?
![]()
![]()
![]()
shemela wewe sio mtu mzuri ujue
... Haiwezekani moneytalk dhamana bhana, atakuwa katako maswali yote ipasavyo..

KaribuHatujashinda humu, ndio tunaingia
Wap tena