Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Yesu akulinde kwa damu yake usiku mwema love uMlale salama wapendwa



Yesu akulinde kwa damu yake usiku mwema love uMlale salama wapendwa



KheeeeeNiko single but not alone, kulala nalala mwenyewe ila kulalana ni tofauti na kulala
Mmh yaan binamu wewe ndio mana Mama anasema huwa hakuelewi kabisa
...kwanza msalimie sana, salamu binafsi. Pili, mimi huwa namuelewa sana, anielewe tu.
Ngoja nimalize hii semina, nitakuja na maneno matamu ya kiinglishi, akishindwa kunielewa basi nitajua kuna mkono wa mtu




kula kwa uma veeep
Ataitika my dearNa me namsalimia mnoooo
HaleeluyaYesu akulinde kwa damu yake usiku mwema love u![]()