Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Me na bangi wapi na wapi shemela si ndio mambo yenu we na maka me niambie kuna uzi wa heinkenKuna uzi wa bangi huko jf doctor
Me na bangi wapi na wapi shemela si ndio mambo yenu we na maka me niambie kuna uzi wa heinkenKuna uzi wa bangi huko jf doctor
Nzuri kabisa shemela wangu wa ukweli, nawamiss sana, kazi zimebana hatariSafi shemela wangu za wewe nakumiss tu mimi
He he umejuaje maka zilipo hizo nipo mimi pembeni![]()
![]()
.. bila shaka na yenyewe yanakupenda maana huwez kupenda kisichokupenda

Ukasome tu shemelaMe na bangi wapi na wapi shemela si ndio mambo yenu we na maka me niambie kuna uzi wa heinken
Salama kabisa mdau...vipi mdau, salama!
Wakutambulishwa naniiiiiiMuziki: Utambulisho
...eeeh, kaa (sio mdudu, au kuweka makalio chini) ukijua kabisa kuwa kuna tofauti ya utambulisho hauhusiani na ugeni au kutojulikana. Suala la msingi ni wewe unataka utambulishweje, wengine tunawajua na tunawatambua kwa namna walivyo na tukichoka kuwatambulisha tunawawekea na lebo kama zile za bei, wanauzwa. Najiaminisha kwako wewe kapuku mheshimika kuwa wewe unajitambua kama Kapuku na kaa ukijua ukapuku sio ule tunaoufasiri mitaani, sisi ni zaidi ya hao na ndo maana tuko humu tukiwa na kila na aina ya ukapuku wa utajiri. Utaitafuta maana siku nyingine kwa wakati wako.
Sijaingia hapa kutambulisha mtu au kitu ila nimeingia hapa nikiwa na nia moja tu ya kukuchangamotisha (challenge +motivation) kuwa ni vizuri kujitambua kabla hujatambulishwa. Ukifanyiwa utambulisho, anayekutambulisha anaweza akakosea asikuseme wewe, kama ilivyotokea kwa anko wangu pale alipomruhusu mume wa mjumbe amtambulishe, kumbuka huyu muwe alikuwa na bifu ya kuchukuliwa mke na anko wangu sasa utambulisho ukawa ni kuvuana nguo wakati anko alikuwa kapiga suti kama diwani mpya.
Muziki sasa, jitambue binafsi na wengine wote tutakutambua bila kukuwekea kitambulisho, kama wewe ni mwalimu basi kuwa mwalimu kweli, kama ni askari fanya yanayostahili kufanywa, na ukiwa mkulima basi baki kuwa mkulima na sio mshamba. Na kama wewe unafanya mazuri ongeza, ukiwa unafanya mabaya, zidisha lakini kaa ukijua hutakiwi kutambulishwa na mwingine wakati una uwezo wa kujitambulisha mwenyewe. Nakupenda Kapuku na unalijua hilo.
Pole mnoooo na majukumu shemelaNzuri kabisa shemela wangu wa ukweli, nawamiss sana, kazi zimebana hatari
Ngoja niendeUkasome tu shemela
Asante shemelaPole mnoooo na majukumu shemela
Nimeshasoma shemelaAsante shemela
Nimeona shemela, uko fasterNimeshasoma shemela
Wakutambulishwa naniiiiii
Ndio nini binamu unazungumzia jaman nimeshakwambia sitaki kusikia habari yeyote...anko wangu si alitambulishwa na yule mume wa mjumbe mnapoishi. Sema wewe hukuhudhuria vikao vya nzengo/mtaa. kwani anko Lyon Lee hakukwambia? Kikao kiliisha maana anko alienda akamrukia yale mateke ya kwenye video, basi wakaanza kupigana pale ila wenye macho tukajua mmoja anagombea mke, mwingine anagombea mchepuko. Baadaye anko akashindwa akalipishwa hela za usumbufu
Hivi bangi ina faida eenh maana huwa unaisifia sanaNimeona shemela, uko faster
Shemela bangi inafaida sana tena saaaanaaaaHivi bangi ina faida eenh maana huwa unaisifia sana
Shemela huyu mnyama hapa chini vipHivi bangi ina faida eenh maana huwa unaisifia sana
Ndio nini binamu unazungumzia jaman nimeshakwambia sitaki kusikia habari yeyote
Sawa shemelaShemela bangi inafaida sana tena saaaanaaaa
Mnyama yupiiiShemela huyu mnyama hapa chini vip