Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Binamu makapuku hakuna ban jaman ebu funguka
...ha hahahahaa, si nimeona kuna mdau mmoja kapigwa ban humu alikuwaja kuandika yake ya kipuuzi
Binamu makapuku hakuna ban jaman ebu funguka
Yapo tele..Hapana ni leo tu unaghairi veeep huku nasubiria mapound
Ahahhaha kwani binamu yule ban kaipata hapa au alivyotoka hapa ujue sijamuelewa namshtukia ban...ha hahahahaa, si nimeona kuna mdau mmoja kapigwa ban humu alikuwaja kuandika yake ya kipuuzi
Nan huyoAhahhaha kwani binamu yule ban kaipata hapa au alivyotoka hapa ujue sijamuelewa namshtukia ban
Ahahahhah binamu wewe ila mbona nasikia chanjo yako ipo lakini ipo juu sana...ni shida ndiyo lakini kama nakumbuka sawasawa, kuna chanjo unachanjwa ukiwa mtoto au hata ukiwa na umri ulionao wanakuchanja na kuna baadhi ya nchi huwezi kuingia kama hujachanjwa hii na kama huna rekodi basi wanakuchanja. Itakuwa ni ajabu sana kama Tanzania wanaruhusu mgeni kuingia bila kuwa na kadi inayoonesha alichanjwa si tu hii ya ini bali na mengine pia.
Kuhusu tiba- virusi wengi hawatibiki wanazuilika na hata hawa wanazuilika na wanadhoofishwa kabisa, makala imehemuka kidogo na kuonesha kuwa hakuna tiba, ipo, halafu hivi kondomu tutatumia kwenye mambo mangapi? yaani badala ya kufanya kwa starehe unakuwa na mawazo ya ajabuajabu tu na si ajabu mikojo inakuwa kidoooooogo.
Kama ulitegemea nitaandika kama mtaalamu sahau, mimi nami nimejisomea tu
ItakuwaaYule tena, atakuwa kimanzichana huko kwenye ngoma zao.
Hata mimi nimemmisi nimekuja humu sijamuona.
Kuna mgeni aliingia jana akawa anaandika upupu wake simba sijui kafanya nini mara banNan huyo
Kuna mgeni aliingia jana akawa anaandika upupu wake simba sijui kafanya nini mara ban

Jirani za jioniAahh.. kama hvyo sawa, maana nilishaona tabu.
Shemela za jioniHapana ni leo tu unaghairi veeep huku nasubiria mapound
Kuna uzi wa bangi huko jf doctorHapana ni leo tu unaghairi veeep huku nasubiria mapound
Mambo ninayoyapenda hayo![]()
.. bila shaka na yenyewe yanakupenda maana huwez kupenda kisichokupendaSalama jirani, vipi hali!?Jirani za jioni
Ukimuona mwambie nimemmisi.Itakuwaa
Shemela shikamooJirani za jioni
Salama kabisa, tupo tu jirani na joto la hatariSalama jirani, vipi hali!?
Muziki: Utambulisho
...eeeh, kaa (sio mdudu, au kuweka makalio chini) ukijua kabisa kuwa kuna tofauti ya utambulisho hauhusiani na ugeni au kutojulikana. Suala la msingi ni wewe unataka utambulishweje, wengine tunawajua na tunawatambua kwa namna walivyo na tukichoka kuwatambulisha tunawawekea na lebo kama zile za bei, wanauzwa. Najiaminisha kwako wewe kapuku mheshimika kuwa wewe unajitambua kama Kapuku na kaa ukijua ukapuku sio ule tunaoufasiri mitaani, sisi ni zaidi ya hao na ndo maana tuko humu tukiwa na kila na aina ya ukapuku wa utajiri. Utaitafuta maana siku nyingine kwa wakati wako.
Sijaingia hapa kutambulisha mtu au kitu ila nimeingia hapa nikiwa na nia moja tu ya kukuchangamotisha (challenge +motivation) kuwa ni vizuri kujitambua kabla hujatambulishwa. Ukifanyiwa utambulisho, anayekutambulisha anaweza akakosea asikuseme wewe, kama ilivyotokea kwa anko wangu pale alipomruhusu mume wa mjumbe amtambulishe, kumbuka huyu muwe alikuwa na bifu ya kuchukuliwa mke na anko wangu sasa utambulisho ukawa ni kuvuana nguo wakati anko alikuwa kapiga suti kama diwani mpya.
Muziki sasa, jitambue binafsi na wengine wote tutakutambua bila kukuwekea kitambulisho, kama wewe ni mwalimu basi kuwa mwalimu kweli, kama ni askari fanya yanayostahili kufanywa, na ukiwa mkulima basi baki kuwa mkulima na sio mshamba. Na kama wewe unafanya mazuri ongeza, ukiwa unafanya mabaya, zidisha lakini kaa ukijua hutakiwi kutambulishwa na mwingine wakati una uwezo wa kujitambulisha mwenyewe. Nakupenda Kapuku na unalijua hilo.
Safi shemela wangu za wewe nakumiss tu mimiShemela za jioni