Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kumbe toka enzi hizo binamu


...mimi nimejiunga nimelikuta, sasa angalia nimejiunga mwaka gani. Na hapo kumetokea mabadiliko kibao wakati huo wenye simu janja (smartphone) ni mimi na anko wangu, wengine mlikuwa mnashinda cybercafe kuingia mtandaoni.

Angalizo: Nisikie mtu ananiita mimi Mzee
Angalizo la pili: BH hujambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom