makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,962
- 104,375
Ni kuKazaa roho tu kama msondo ngomaHahahahaaa....
Kaah!
Mkuu yale mambo sio kabisa

Ni kuKazaa roho tu kama msondo ngomaHahahahaaa....
Kaah!
Mkuu yale mambo sio kabisa

Hahahaaa....Ni kuKazaa roho tu kama msondo ngoma![]()
![]()
Muziki: Inakuhusu, Jisogeze
Kifupi tu, tena kwa ufupi kama muhtasari wa taarifa ya habari ya saa mbili, oh, nilisahau kwamba huna kawaida ya kusikiza taarifa ya habari, unapenda kuangalia. Kila zama na kitabu chake, hawakosei wanaoipitiwaga na kuniita Mzee Obe. Mimi zangu ni kufungulia redio ili nisomewe taarfa ya habari just like a boss, sio nilazimike kukodoa macho kutizama habari kwa TV kama nimekuwa mtuhumiwa kizimbani.
Weekend ilikuwa nzuri kiasi kwangu, kichwa kilinigonga kidogo nilipoambiwa wiki ijayo ni December na nijiandae na mambo kadha wa kadha na msisitizo ukiwa kwenye sherehe zinazoambatana na December jumlisha kodi na ada ya mtoto. Yote kwa yote, wewe kapuku unahusika na unastahili yote mazuri hapa na pale na ndiyo maana ninakufurahia unapokuwa hapa na kushare, sharing is caring.
Muziki sasa, hivi ulishajiuliza why nilichagua kuandaa hiki kipengele, well, FYB, muziki hutuleta pamoja, unatuweka karibu, it's a social scene-interaction ambapo tunajumuika ukiacha kuburudika basi tunapeana maarfa kuanzia siasa hadi technolojia na mengine ambayo ni ya manufaa sana katika harakati za maisha yetu ya kila siku. Nikutakie wiki nzuri na unajua nini, Makapuku Forum inakuhusu, jisogeze.
Duh.. na ualwatan wngu woye sijui haya mambo, hebu fnya mpango nichungulie jicho la kwanza sio dhambi.. namie nipate kustaajabu ya musa, ili nisije kushangaa zaid ya firauni..![]()
![]()




mbavu zangu jaman
AhahahhhhKuchungulia tu..![]()
![]()
![]()
Hahahh umejuajeNaona kama umeitikia kinyonge ndugu yangu..
Mpm jamii forum robot yupo mda woteWasema hadi uwaombe mods..
Sasa mods nanae mjua ni invisible tuu...hebu tajeni wengine..
Yawezekana huyo yuko off duty leo![]()
Hapana unaleft ukitakaNini sasa shem..
Nikiingia nikashindwa kutoka ujue nitaumia sana...
Ahahahh nipe helaHilo nalo tatizo mie simjui mod hata mmoja, na unaanzaje kuomba!?
Hakuna cha bure nipeni mahela mie
We utashtukia umeshaingizwa tu linaitwa jukwaa la wakubwa members only hukoHaya, tusubiri maelekezo.
Na una pm vipi, jukwaa lenyewe linaitwaje!?
Huko me siingii siku hizi Nyagei ndio jukwaa lake huko anatongoza tuShunie kaishakula kona, sasa sijui ndio kaelekea huko..![]()
![]()
Natumaje hela sasa?Hakuna cha bure nipeni mahela mie
Asante binamuMuziki: Inakuhusu, Jisogeze
Kifupi tu, tena kwa ufupi kama muhtasari wa taarifa ya habari ya saa mbili, oh, nilisahau kwamba huna kawaida ya kusikiza taarifa ya habari, unapenda kuangalia. Kila zama na kitabu chake, hawakosei wanaoipitiwaga na kuniita Mzee Obe. Mimi zangu ni kufungulia redio ili nisomewe taarfa ya habari just like a boss, sio nilazimike kukodoa macho kutizama habari kwa TV kama nimekuwa mtuhumiwa kizimbani.
Weekend ilikuwa nzuri kiasi kwangu, kichwa kilinigonga kidogo nilipoambiwa wiki ijayo ni December na nijiandae na mambo kadha wa kadha na msisitizo ukiwa kwenye sherehe zinazoambatana na December jumlisha kodi na ada ya mtoto. Yote kwa yote, wewe kapuku unahusika na unastahili yote mazuri hapa na pale na ndiyo maana ninakufurahia unapokuwa hapa na kushare, sharing is caring.
Muziki sasa, hivi ulishajiuliza why nilichagua kuandaa hiki kipengele, well, FYB, muziki hutuleta pamoja, unatuweka karibu, it's a social scene-interaction ambapo tunajumuika ukiacha kuburudika basi tunapeana maarfa kuanzia siasa hadi technolojia na mengine ambayo ni ya manufaa sana katika harakati za maisha yetu ya kila siku. Nikutakie wiki nzuri na unajua nini, Makapuku Forum inakuhusu, jisogeze.
Woyoooooo...We utashtukia umeshaingizwa tu linaitwa jukwaa la wakubwa members only huko
Mtumie Sakayo atanipaNatumaje hela sasa?
Baiskeli ya D yenyewe nimempa mtoto wa jirani mimi
Huko ni kujiachia tu hakuna sheria yoyoteWoyoooooo...
Sheria za huko zikoje kwani?