Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aahh.. tanesco mambo gani haya tena, mnajua mtaa wa 7 sijaja sikudahali wa dahali, leo nafika tu mnakata umeme, wacheni ubwege habithul amal nyie, nyama kilo moja, nusu na robo, shwain, tandarubete na umali..[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Ahahahhh mpaka usiku wa manane hiyo sisi tumerudishiwa muda si mrefu
 
232b487ee7d2b419b07dcd9ea9259372.jpg


Cc Lyon Lee na Makaveli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Asubuhi unaweza ukaamka umegeuka mkaa tuu
 
Back
Top Bottom