Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wanatunyanyasa kama tunatumia bure, sijui ingekuwa ni bure ingekuwaje.

Gesi ipo ya kumwaga, juzi mvua imepiga maji yatakuwa yakutosha na mgao haujaisha.. sasa hiyo tren ya umemr si tutakuwa tunalala porin kufanya utalii bila kupenda..[emoji23] [emoji23]
Inabidi tupambane tu
 
Duh.. na ualwatan wngu woye sijui haya mambo, hebu fnya mpango nichungulie jicho la kwanza sio dhambi.. namie nipate kustaajabu ya musa, ili nisije kushangaa zaid ya firauni..[emoji23] [emoji23]
Wasema hadi uwaombe mods..

Sasa mods nanae mjua ni invisible tuu...hebu tajeni wengine..

Yawezekana huyo yuko off duty leo [emoji3][emoji3]
 
81bae39a33b4c682f9ddd90729261ce8.jpg
 
Back
Top Bottom