makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,970
- 104,390
Wanatunyanyasa kama tunatumia bure, sijui ingekuwa ni bure ingekuwaje.
Gesi ipo ya kumwaga, juzi mvua imepiga maji yatakuwa yakutosha na mgao haujaisha.. sasa hiyo tren ya umemr si tutakuwa tunalala porin kufanya utalii bila kupenda..

