Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Sijamuona mie mfate pm kwake
Ndo wap?Sijamuona mie mfate pm kwake
Nasikia tu watu wanasema pm sijui ndio kwa waziri mkuu we mfate tuNdo wap?
Tena wewe nyamaza kabisamimi tena nawaacha kwani nimewashika wapi
Niko poa sana chiefMkuu wa wadhifa uko poa??
Nakuona uko na mrembo wetu shunie mnayajengaNiko poa sana chief
Muda wa lunch huwa ni muda mzuri kubadilishana mawazoNakuona uko na mrembo wetu shunie mnayajenga
Tena wewe nyamaza kabisa




Kosa langu nini koncho nikuombe msamaha huwa sipendi kumkwaza binadamu
Na raha ya kubadilisha mawazo muwe jinsia tofauti kama we na shemela wakoMuda wa lunch huwa ni muda mzuri kubadilishana mawazo
KonchooKwa udhamini mnono wa koncho77 TUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
Me pia nzuri mkuu mwanzo ulikua unatumia id gani eti mana hii sijawahi kukutana nayo samahani lakini

Na raha ya kubadilisha mawazo muwe jinsia tofauti kama we na shemela wako

Unamjua mke mwee
Na wewe jijumuhishe tukiwa watatu itapendeza zaidiNa raha ya kubadilisha mawazo muwe jinsia tofauti kama we na shemela wako