Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,002
Shemela asanteView attachment 638655Asubuhi njema makapuku wote
Me pia nzuri mkuu mwanzo ulikua unatumia id gani eti mana hii sijawahi kukutana nayo samahani lakinihabar ang mzur cjui kwako
Asante shemela wanguPamoja sana shemela wangu
Pia nawe Asante kwa jana
Kumekucha salama wakuu ..tuwe na siku njema
Obe anko wangu mnayemjua kanikataza kuweka UF kwa leo na siwezi kupinga

Asante sana kwa magazeti Shululu ubarikiwe sanasana siku njemaKwa udhamini mnono wa koncho77 TUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
Mama angu mie shikamooAsante sana kwa magazeti Shululu ubarikiwe sanasana siku njema
Marahaba my daughter nakumiss sana Shunie hata sina la kusema sijui tu nifanyeje...Mungu akutunze mwanangu akupe amani na haja ya moyo wako nafurahi UKIFURAHI..LOVE YOU SWEET DAUGHTERMama angu mie shikamoo
YOU ARE WONDERFUL MADE..GOD BLESS U

Miss u too momMarahaba my daughter nakumiss sana Shunie hata sina la kusema sijui tu nifanyeje...Mungu akutunze mwanangu akupe amani na haja ya moyo wako nafurahi UKIFURAHI..LOVE YOU SWEET DAUGHTER![]()
YOU ARE WONDERFUL MADE..GOD BLESS U
![]()
![]()


Amen mom nakupenda sanaa unajua
ShikamooMiss u too momAmen mom nakupenda sanaa unajua
Marahaba jambo weweShikamoo
UTUACHEmtu na shemela wake
Mkuu wa wadhifa uko poa??UTUACHE
Asante sana imefika