Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Na wewe stivu nawaonaa tu watu woote unawakatalia kuja pm kwako but stivu umemruhusu
mbona unatucheka?
Mimi mwenyeji huku shemela.Shemela![]()
Karibu
sijambo shemela wangu, karibu kwetuHujambo money..
shemela wangu wa ukweeeShemela moneytalk
Love u hubby![]()
cc moneytlk mastori
Kheee kuja pm ndio nini woiiii ebu hukoNa wewe stivu nawaonaa tu watu woote unawakatalia kuja pm kwako but stivu umemruhusu
Lee Lyon Mali za kaka yako zinaibiwa hukuuu
Nimefurahi jaman kuwaonambona unatucheka?
Inapendeza tukiwa pamojaNimefurahi jaman kuwaona
Asante Pesa-ongeasijambo shemela wangu, karibu kwetu
ahahahah duh hii inaitwa kutohoa lughaAsante Pesa-ongea
KhaaaaNa wewe stivu nawaonaa tu watu woote unawakatalia kuja pm kwako but stivu umemruhusu
Lee Lyon Mali za kaka yako zinaibiwa hukuuu
Vp mzima kipenzi![]()
hata wewe
Shangaa na wewe mke mweeKhaaaa
Team kufukua makaburi