Makapuku Forum

Makapuku Forum

Waiter leta
..kumbe nawe ni mlipa kodi wa nchi hii. Nikijiamisha kuwa huwezi kumuagiza waiter soda

anigif_enhanced-buzz-3108-1428353864-7.gif
 
Muziki: Le Familiar

...nimekaa hapa na anko wangu ananikumbusha masuala kadhaa. Uzuri wa huyu anko wangu bhana akili yake huwa inakuwa active sana akishatupia mbili tatu sasa na mimi huwa naelewa zaidi nikishatanguliza nne tan maana wote tukianza na moja huwa ni kama appetizer. Hadi muda huu utakuwa ushajiongeza kichwani na kujua tuko wapi. Anko Lyon Lee karudi na tunaifurahia furahiday hapa. Niko na wajomba zangu wote, ngao ya maji na ngai ya kidonge utatofautisha mwenyewe.

Mengi tumeongea na nimeyaelewa sana maana yote Makapuku mnayafahamu sana na kama mnavyojua akili yangu inaelewa fasta na kushika vitu nikiwa tingasi, hakyanani tena kama shuleni wangekuwa wanarusu kuingia class umetupia vyombo basi exams za standard four na std (sio sexual transmitted disease) seven nisingerudia rudia utasema wimbo mpya unaobamba.
Muziki sasa, wikend ndo hii na baadhi wanafikiri ndo wakati wa kufiestika. Usipoweza kukaa na familia nyumbani unategemea nani akae nayo. wikend jipe muda wa kukaa na family, ingia jikoni upike japo chai. Itapendeza zaidi. Nakupenda sana Kapuku mheshimika na ninakutakia wikend njema

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom