Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Uzuri wa Maandishi
..u khali gani Kapuku mheshimika, najua umekuwa na Jumanne nzuri kabisa, hilo sina shaka nalo na hata kama nitakuwa na shaka nalo yafaa nini kama siwezi kuwa sehemu ya tatizo wala suluhisho. Kila mmoja anapambana na hali yake, ndo anavyopenda kusema Tumosa na aunt yangu Shunie na hili ndo la msingi kulifanya. Upande wangu siku yangu ilikuwa poa.

Jamii nzuri na iliyo bora hujengwa na watu wenye maarifa, ufahamu wa matatizo na namna ya kuyatatua. Hili lilijulikana tangu zamani enzi za wasomi mababu zetu waliopenda kutufunza nini cha kufanya kwa kuangalia na kuiga. Zama zimebadilika, kwa sasa maarifa yapo vitabuni, kwenye makaratasi. Nikiuliza tu ni vitabu vingapi umesoma mwaka huu, well, zile hadithi zinazowekwa humu huwa unasoma? Usizidharau, zinaleta maarifa makubwa na zinatupa uwezo wa kuwafahamu wengine huku tukitambua tofauti zetu zinazotuunganisha.

Muziki sasa, inapendeza sana kuwaona wadau tukiwa hapa Jukwaani, bila ninyi hakuna chochote kinachoweza kulifanya jukwaa hili kuwa la kipekee. Good to see you mtaasisi mwenzangu Nyagei na wadau wote

 
Sawa binamu domo zege
Muziki wa Mdhamini: Wasilisha Hisia Acha Wasiwasi

Sitaki kumsemea mtu, si unajua kwanini, kwanza huwa nakuwa wa mwisho kujua vitu humu ambavyo wote mnavijua tangu jana na kingine japo ni tuhuma lakini kuna mdau kasema mimi ni domo zege. sasa niliposoma list ya domo zege nikapata njaa maana nikajua zege ni chipsi yai, nikajiuliza hilo zege limewekewa na chachandu au lina mishkaki. Lahaula nilikuwa mbali na ukweli kumbe domo zege ni ile changamoto ya kutongoza. Mmmmh, hebu jiulize , muulizeni BH kama mimi ni domo zege. Maana nimemuimbisha mwaka wa 7 huu hadi nilipopendana na mpendwa wangu, kipenzi changu wa ukweli. Sijitetei maana tatizo langu sio udomo zege ila ni kutokubaliwa kabla ya kukutana na kipenzi changu mnayemjua humu.

Muziki wa mdhamini unaletwa kwenu na Shunie aunt yangu ninayemfagilia sana. Mimi na yeye hatuchukiani na tunafurahiana mno na wote mnalijua hilo. Mnasalimiwa na anko wangu mkubwa yule anayempenda aunt yangu achana na huyu mdogo Lyon Lee nyumba nyingi, juzi kaenda kufumania mchepuko wake kilichomkuta atawasimulia asubuhi au atajidai kukaa kimya kuepusha shari la penzi jipya

 
Muziki: Uzuri wa Maandishi
..u khali gani Kapuku mheshimika, najua umekuwa na Jumanne nzuri kabisa, hilo sina shaka nalo na hata kama nitakuwa na shaka nalo yafaa nini kama siwezi kuwa sehemu ya tatizo wala suluhisho. Kila mmoja anapambana na hali yake, ndo anavyopenda kusema Tumosa na aunt yangu Shunie na hili ndo la msingi kulifanya. Upande wangu siku yangu ilikuwa poa.

Jamii nzuri na iliyo bora hujengwa na watu wenye maarifa, ufahamu wa matatizo na namna ya kuyatatua. Hili lilijulikana tangu zamani enzi za wasomi mababu zetu waliopenda kutufunza nini cha kufanya kwa kuangalia na kuiga. Zama zimebadilika, kwa sasa maarifa yapo vitabuni, kwenye makaratasi. Nikiuliza tu ni vitabu vingapi umesoma mwaka huu, well, zile hadithi zinazowekwa humu huwa unasoma? Usizidharau, zinaleta maarifa makubwa na zinatupa uwezo wa kuwafahamu wengine huku tukitambua tofauti zetu zinazotuunganisha.

Muziki sasa, inapendeza sana kuwaona wadau tukiwa hapa Jukwaani, bila ninyi hakuna chochote kinachoweza kulifanya jukwaa hili kuwa la kipekee. Good to see you mtaasisi mwenzangu Nyagei na wadau wote


f0dd165a69781c3b21eb2b567263e2de.jpg
745b5a4a3e4fd63cb61c5875260a8895.jpg

Ahsante sana mtaasisi kwa Rockbier
 
Muziki wa Mdhamini: Wasilisha Hisia Acha Wasiwasi

Sitaki kumsemea mtu, si unajua kwanini, kwanza huwa nakuwa wa mwisho kujua vitu humu ambavyo wote mnavijua tangu jana na kingine japo ni tuhuma lakini kuna mdau kasema mimi ni domo zege. sasa niliposoma list ya domo zege nikapata njaa maana nikajua zege ni chipsi yai, nikajiuliza hilo zege limewekewa na chachandu au lina mishkaki. Lahaula nilikuwa mbali na ukweli kumbe domo zege ni ile changamoto ya kutongoza. Mmmmh, hebu jiulize , muulizeni BH kama mimi ni domo zege. Maana nimemuimbisha mwaka wa 7 huu hadi nilipopendana na mpendwa wangu, kipenzi changu wa ukweli. Sijitetei maana tatizo langu sio udomo zege ila ni kutokubaliwa kabla ya kukutana na kipenzi changu mnayemjua humu.

Muziki wa mdhamini unaletwa kwenu na Shunie aunt yangu ninayemfagilia sana. Mimi na yeye hatuchukiani na tunafurahiana mno na wote mnalijua hilo. Mnasalimiwa na anko wangu mkubwa yule anayempenda aunt yangu achana na huyu mdogo Lyon Lee nyumba nyingi, juzi kaenda kufumania mchepuko wake kilichomkuta atawasimulia asubuhi au atajidai kukaa kimya kuepusha shari la penzi jipya

Awww santee binamu hii nyimbo kama nimeimbiwa mie
 
Muziki: Uzuri wa Maandishi
..u khali gani Kapuku mheshimika, najua umekuwa na Jumanne nzuri kabisa, hilo sina shaka nalo na hata kama nitakuwa na shaka nalo yafaa nini kama siwezi kuwa sehemu ya tatizo wala suluhisho. Kila mmoja anapambana na hali yake, ndo anavyopenda kusema Tumosa na aunt yangu Shunie na hili ndo la msingi kulifanya. Upande wangu siku yangu ilikuwa poa.

Jamii nzuri na iliyo bora hujengwa na watu wenye maarifa, ufahamu wa matatizo na namna ya kuyatatua. Hili lilijulikana tangu zamani enzi za wasomi mababu zetu waliopenda kutufunza nini cha kufanya kwa kuangalia na kuiga. Zama zimebadilika, kwa sasa maarifa yapo vitabuni, kwenye makaratasi. Nikiuliza tu ni vitabu vingapi umesoma mwaka huu, well, zile hadithi zinazowekwa humu huwa unasoma? Usizidharau, zinaleta maarifa makubwa na zinatupa uwezo wa kuwafahamu wengine huku tukitambua tofauti zetu zinazotuunganisha.

Muziki sasa, inapendeza sana kuwaona wadau tukiwa hapa Jukwaani, bila ninyi hakuna chochote kinachoweza kulifanya jukwaa hili kuwa la kipekee. Good to see you mtaasisi mwenzangu Nyagei na wadau wote


Asante dj Obe kwa music
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom