Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
Kwema huko Kibaha
Nipo kibaha mkuu
Nipo kibaha mkuu
Kisa shunie auItulie wapi boss, haijatulia bado inatapa-tapa hatar.
Anayenipenda anatosha sitaki mambo nyingine jamaanNdo ushapendwa
We amini unavyoaminiAmenambia ni yeye ni ushaidi wa kimazingira.
Ila waku-prove ni wewe tu.
UmeonaeeeMmh kweli mapenzi yana nguvu
Kweli shem
Hapana mi nae mpenda ni "ujue" sio wewe umeni-note vibaya...Shedede me mtu mzima ujue hizi mambo zenu tafuta watoto wenzio uanze kuwaambia sawa me nipo na baba d yeye humu jf ndio wa kwanza na wa mwisho ikitokea tofauti kati yangu na yeye nakuwa mtawa
Nimeona mieUmeonaeee
HayaHapana mi nae mpenda ni "ujue" sio wewe umeni-note vibaya...
Nakuamini wewe tu.We amini unavyoamini
Na wewe acha uboya si ufungukeHapana mi nae mpenda ni "ujue" sio wewe umeni-note vibaya...
Hapana nayempenda mimi ni "ujue"Kisa shunie au
AiseeHumu kuna mtu nampenda anapenda kuandika post anaishia na 'ujue'
Tatizo unao wengi ujue
Akwendreeeeee me na ben 10 wapi na wapiAisee
Na wewe acha uboya si ufunguke
Huyu hapaUmeniacha himo ujue
Hapana sitaki kufunguka nataka tu 'ujue' ajue nampenda sana
Kasema wewe ben 10Hapana sitaki kufunguka nataka tu 'ujue' ajue nampenda sana