Shem sina cha kusema zaidi kukushukuru kwa keki na suprises zako kwa leo Mungu azidi kukutunza na kukulinda shem lake ....shuny le boss asante mmeninyoosha na baba d ....![]()




tunakupenda jaman shem
Asante shem
Baba katika jina la Yesu kristo.Asante kwa neema yako ya ajabu katika maisha yetu.asante kwa upendo na fadhili zako nyingi mnoo katika maisha yetu.Shem sina cha kusema zaidi kukushukuru kwa keki na suprises zako kwa leo Mungu azidi kukutunza na kukulinda shem lake ....shuny le boss asante mmeninyoosha na baba d ....![]()

Hakika mkuuNi kweli mkuu. Life is full of complications! Nimeiona picha hii nikafikiri kuhusu masaibu yaliyompata mpaka akaja kuzungumza na Mungu wake akiwa pekee. Na kwa jinsi alivyovaa sidhani kama alidhamiria kuja kanisani namna hiyo. Yote kwa yote Mungu ni mwema sana na haijalishi tumefanya nini, tukirudi kwake, Yeye hutukaribisha kwa mikono miwili na kutusamehe madhambi yetu. Neema yake yatosha !!!![]()
MAOMBOLEZO 3 
Happy Borthday Mwanangu Lion Lee Mungu akubariki uwe na hekima na maisha marefu na baraka na umtumikie Mungu maisha yoteBinamu Obe naomba nyimbo ya happy birthday ya harmonize imfikie shem wangu lyon lee popote alipo narudi tena kulala muwe na usiku mwema
WE LOVE YOUNa kwako pia mlisha kondoo wa BwanaMAOMBOLEZO 3
22. Ni huruma za Bwana kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi.
23. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu.
SIKU NJEMA,BARAKA ZA MUNGU ZITAWALE![]()










Ni kweli mama JJPole sana baba watoto,umekuwa na pilika kweli wiki hii
Amen, Asante mama mchungajiMAOMBOLEZO 3
22. Ni huruma za Bwana kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi.
23. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu.
SIKU NJEMA,BARAKA ZA MUNGU ZITAWALE![]()
Asante mama mchungajiHappy Borthday Mwanangu Lion Lee Mungu akubariki uwe na hekima na maisha marefu na baraka na umtumikie Mungu maisha yote![]()
![]()
WE LOVE YOU