Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Hee kwahiyo ndio ukamuwakilisha mpaka room ukazama ukaenda kumuwakilisha kwa bedKwa taarifa yako ni wa anko aliniomba nimuwakilishe ili usimnunie usku
Hee kwahiyo ndio ukamuwakilisha mpaka room ukazama ukaenda kumuwakilisha kwa bedKwa taarifa yako ni wa anko aliniomba nimuwakilishe ili usimnunie usku
Lee simbaAsante
Lee yupi sasa ??
Nilimfikisha kwenye ile gest ambayo anko alikwambia usije kanyaga pale kisa alikutishia kuwa unatembea na yule mfanya usafi na mlinzi kumbe ndo janja yake usimfumanieHee kwahiyo ndio ukamuwakilisha mpaka room ukazama ukaenda kumuwakilisha kwa bed
Kwa mbaali naona huyu mzee anafanana na "steven wasira"
1976 - Lucy Chege, mchezaji wa voliboli kutoka Kenya alizaliwa
GoodNilimfikisha kwenye ile gest ambayo anko alikwambia usije kanyaga pale kisa alikutishia kuwa unatembea na yule mfanya usafi na mlinzi kumbe ndo janja yake usimfumanie
Ndukiiii![]()
![]()
![]()
![]()
Ngoja ajee utamueleza kama simba anahusikaje
1630 - Johannes Kepler, mwanafalaki kutoka Ujerumani alifariki
1839 - William Murdock, mhandisi Mwingereza, na mvumbuzi wa taa ya gesi alifariki
Waligombana ama nn?!
Hee kwahiyo ndio ukamuwakilisha mpaka room ukazama ukaenda kumuwakilisha kwa bed
Alafu ulivo na roho nzuri nakumbuka ulimpa buku saba sijui alikudanganya ya nini ....ndo iliyolipaGood![]()
![]()
![]()
![]()
Safi sana mpendwa obe ndio inavyotakiwa hivyo mwanaume uwe unafanya mambo kwa kujistiri
Husobe kapita
Anko salamu zikufikie popote ulipoooooMpenzi wangu, wakati unayaona yote haya wewe ulikuwa wapi, na unafanya nini na nani! Ujue kuna tofauti na kuwa kazini na kuzini.
Umenifanya hata hamu ya kunywa chai ya hudhurungi ikate, andaa ushawishi wa kimwili ili niweze kukuelewa maana hiyo gesti ni ya watu wageni wenyeji
...labda alikuwa hataki kumaliziwa madini ya chumvi mwilini mumewe akienda uvinza. Au jamaa alikuwa analamba kwa fujo
duniani kuna mambo!!Anko salamu zikufikie popote ulipooooo
Tulichanga wawili make na wewe kumbuka ulimuweka mtu wakagawana vyumba...salamu zimefika anko, ngoja nitafute sababu ya kuchelewa kurudi nyumbani. Haya mambo ulinilekeza kipindi kile umempangishia nyumba nzima yule teller wa commercial bank
Mpenzi wangu, wakati unayaona yote haya wewe ulikuwa wapi, na unafanya nini na nani! Ujue kuna tofauti na kuwa kazini na kuzini.
Umenifanya hata hamu ya kunywa chai ya hudhurungi ikate, andaa ushawishi wa kimwili ili niweze kukuelewa maana hiyo gesti ni ya watu wageni wenyeji

![]()
![]()
![]()
Wala mi sikuwepo hapo ila kuna MTU ndio kaniletea hizo hizo habari
Si unajua tena wabongo walivyo MTU anakunyima hela ila ubuyu hakunyimi![]()
![]()