Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
...basi alipopotea na wewe ukapotea nikajua hicho kiporo kinapashwa kwa heater. sasa mbona wewwe umewahi kurudi, au kiporo kilikuwa kichache cha fasta tu

...basi alipopotea na wewe ukapotea nikajua hicho kiporo kinapashwa kwa heater. sasa mbona wewwe umewahi kurudi, au kiporo kilikuwa kichache cha fasta tu

Hongera zake
..avatar yako nayo inaleta wahaka, hebu ondoa hicho kinguo cheupe nione maua mengine

Anko mpandishie wimbo mpendwa wangu wimbo wa T.I.D -watasema sana...anakudanganya anakudanganya huyooooo, hawa jamaa sijui waliendaga wapi.
nakumbuka ndo wimbo ulikuwa unamdediketia Kuruthum baada ya kumuacha Joy Bonge
Nakuweka kwenye listHyo ngao ni ipi ya kidonge au maji![]()
![]()
![]()
Wewe pambana na wazee vibibi gagula wenzako anko wangu mpendwa ...haya mambo ya kileo ...safar inazaa matundaa....ngoja kwanza? aunt yangu tunayependana Shunie hebu nifundishe, hivi mdada akimuandikia anko wangu hili neno 'bby' anakuwa anamaanisha nini kwa mfano?
Ujue mimi huwa nakuwa wa misho kujua mambo humu
Hyo ngao ni ipi ya kidonge au maji![]()
![]()
![]()
Ata wa zamani hayupoo... ni wewe tu anko ananifitinishaaMmm wazamani yuko wapi baba
mgeni kapeperushwa na Mndali ndanyelakakomu mimi wala sihusiki. Au yuko chuo, kifurushi cha college kimeisha

Nakuweka kwenye list
Kheee wewe utafiti wa wapi huo ebu rudi kaanze upya*MADEMU WEMBAMBA NDO WANAOMALIZA CHUPI ZA WATOTO MADUKANI*
Cjavuta bado
Anko hasemagi uongo, lakin ngoja nifanye udadisi kwanza...anakudanganya anakudanganya huyooooo, hawa jamaa sijui waliendaga wapi.
nakumbuka ndo wimbo ulikuwa unamdediketia Kuruthum baada ya kumuacha Joy Bonge
Mbona mapema hivyo jamanUsiku Mwema Wapendwa
Na wewe upo kwenye assessment...huyu akae siti ya mbele kabisa kwenye listi, nilimuona siku nyingi sana
Huyo ni chapombe akinywa anaoga kabisaEti wii shunie Mjomba obe anapiga tungi ee
AmezipataHongera zake
Ebu niambie basi