Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Hongera kwa kuwa mkubwa na kumiliki mtoto mzuriSema mda mwingine usimsikilize sana najua atanionea gere kupata mcute kuliko wa kwake
Hongera kwa kuwa mkubwa na kumiliki mtoto mzuriSema mda mwingine usimsikilize sana najua atanionea gere kupata mcute kuliko wa kwake
Dada tabia gani hii ya kumwambia shemeji awahi kurudi![]()
![]()
![]()
![]()
baba wawili leo uwahi kurudi
Mgeni ndio kila siku mnamringishia shem wangu na mahaba yenu na yeye kapata bae

Mgeni ndio kila siku mnamringishia shem wangu na mahaba yenu na yeye kapata bae
Duuuh![]()
![]()
![]()
Ss hatumlingishii mtu tushindwe kubebika kisa humu ndani kuna mabachelor wazoefu

Kweli shem jamaanKwani uongo??
♀️
Namuandalia suprise akichelewa itachacha kakaDada tabia gani hii ya kumwambia shemeji awahi kurudi

Hebu uko niacheWe vp
Kweli kaka akee kwani ye hana moyo
Ndio hivyo na yeye ameshapata![]()
![]()
![]()
Ss hatumlingishii mtu tushindwe kubebika kisa humu ndani kuna mabachelor wazoefu
Suprise ya kuchacha ni ninii hiyo etiNamuandalia suprise akichelewa itachacha kaka
Kwani nmefanya vbya![]()
![]()
Wifi yakoSalama
Karibu nyumbani
Ndio umefanya isivyo takiwa ni kama unatoa amri tumia lugha ya ushawishiNamuandalia suprise akichelewa itachacha kaka
Kwani nmefanya vbya![]()
![]()

Shem walahi kesho nabeba tangawizi ...Mgeni ndio kila siku mnamringishia shem wangu na mahaba yenu na yeye kapata bae
Hata hivyo nimempa pongezi yakeKweli kaka akee kwani ye hana moyo
Asanteee amezipokeaHata hivyo nimempa pongezi yake
Shem nimeshapona jamanShem walahi kesho nabeba tangawizi ...