Makapuku Forum

Makapuku Forum

b951264573e8405723bf7fa1096bbff6.jpg

Nilikuwa church ndo naelekea home......bado sijapitia story zenu

.....................
Aisee unasali kanisa hili kumbe, me nimekaa sana pande hizo hapo karibu na Gonzaga Primary school
 
makapuku forum: uzi unaokua kwa kasi ya ajabu kuwahi kutokea jf. nautabiria kufikisha comments 50000 baada ya miezi 3 ijayo. ama kweli makapuku tuna nguvu kuliko wakongwe wa jf. heshima kwa waasisi wa hii kitu. Th Name Bitoz nyangema toto la joto city a.k.a tembo mvaa mtepesho!
dah makapuku burudani tupu!
Umesomeka mkuu
....................,....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom