Muziki: Mvua ya Joto
Mmmh! Leo nitaaandika haraka haraka maana kuna ndoto nataka niiote nikilala na ninavyojijua nikiandika taratibu siwezi kuiota hii ndoto. FYI, hii ndoto ni mwendelezo tu wa ndoto zangu nyingi ukiacha ile moja ambayo ilinipaga jina baya ugenini. Nitakwambia kuhusu hiyo ndoto siku moja labda ijumaa nikiwa niko tingasi, na itabidi nikueleze mapema kabla mjomba wangu hajanikumbusha. Kwanza nakusalimia sana na ama baada ya salamu ninakukaribisha tena kwenye kipengele hiki cha muziki, haijalishi unakipenda au kinakuchukiza lakini kwa kuwa wewe upo hapa basi hakijaharibika kitu.
Nikushukuru sana
Tumosa kwa kudhamini magazeti, wageni waliposikia mama JJ ni nani mimi nimeona niwape nyeupe na nyeusi,
shululu alimaanisha kuwa wewe ndo unayempa usingizi. Asante
BlessedHope kwa sala za muda wote na ambazo kiukweli leo zimeongezewa nakshhi na
Transcend pamoja na
SHIMBA YA BUYENZE , mnafanya vema sana wadau. Mnajua huwa sichoki kuwashukuru aunty yangu
Shunie kwa hadithi bila kumsahau aliye moyoni mwangu hadi najisahau kukutambulisha kwake, la habibt
husna muba, anko wangu
Lyon Lee hongera kwa kutaka kutenganisha ngao ya maji na ngao ya kidonge. Ninakushukuru pia kwa kuendelea na neno lako kuwa nikienda Kigamboni nguo zangu zilowekwe na zianikwe kwenye mvua. You made my day na smile nililokuwa nalo nakumbuka ulinilazimisha kutabasamu pale tulipokuwa Morogoro kwenye ile bar tuliyokunywa Safari lager na chapati
Muziki sasa, hebu nitarudi tena