Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Amina mamaZaburi 140
12 Najua ya kuwa BWANA atamfanyia mnyonge hukumu, Na wahitaji haki yao.
13 Hakika wenye haki watalishukuru jina lako, Wenye adili watakaa mahali ulipo Wewe.
Shikamoo momMmmh ukweli mpaka nililala
AmenZaburi 140
12 Najua ya kuwa BWANA atamfanyia mnyonge hukumu, Na wahitaji haki yao.
13 Hakika wenye haki watalishukuru jina lako, Wenye adili watakaa mahali ulipo Wewe.
Hahaha wewe..itafahamika tu..bado uanichanganya..anyway ukweli unaujua mwenyewe..lkn hata mimi unanidanganya![]()
![]()
![]()
![]()

Nahuu Shunie mwanangu nafanya mazoezi sk hizi nahitaji nyimbo nyingiii
..hahahahaha
mbavu zangu mama,