Ahahahhh
Anataka kuonana tu ili mjuane we ni obe ye ni nyagei bila kupata nyama choma au smirnoff
Analewa yeye alipe mwenyewe kiufupi apambane tu na hali yakeMpendwa wako kumtoa bia 3 unaona nongwa? Si analewa yeye
Hapa napiga picha tu ya mshutuko wa sehem za siri .......ha ahahaha, akinitoa atakonda, tena bia tatu nyingi, moja tu anahisi kupatwa na mshituko wa sehemu za siri
Sasa mpendwa wako kazi yake ninii...si bora mimi mizigo yangu hii, kuna Makapuku humu wana mizigo ya dhambi. Nikimalizana ana mizigo yangu, well, mzigo wangu ni mmoja tu, mingine ni ya anko.
Umejuajeee binamu yaaan mchaga haoni ndani....ha ahahaha, akinitoa atakonda, tena bia tatu nyingi, moja tu anahisi kupatwa na mshituko wa sehemu za siri
...aafu hii smirnoff imetupiwa vibonge vya ice, hakyanani unaweza kumpigia simu imam au mchungaji umfundishe masuala ya kuishi vizuri duniani
Kwa hyo kaubaridi ndo kamewateka eeeehKumbeee sawa Mwifwa
Mmmmh mbona huwa anakusaidia kupambana na hali yakoAnalewa yeye alipe mwenyewe kiufupi apambane tu na hali yake
Ahahahhhh umeona eenh binamu halaf mtu anataka muonane tu bure bure atapambana na hali yake...aafu hii smirnoff imetupiwa vibonge vya ice, hakyanani unaweza kumpigia simu imam au mchungaji umfundishe masuala ya kuishi vizuri duniani
Atuachie barukutu...awaachie kitu gani? Maana anko wangu huyu kwa masharti hajashibdikana
Naomba kekii mimi shemKwa hyo kaubaridi ndo kamewateka eeeeh
Poa
Husobe
Leo hakuna baridi mbonaKwa hyo kaubaridi ndo kamewateka eeeeh
Mama pedesheee mtoto ya ndamaUmejuajeee binamu yaaan mchaga haoni ndani
Sasa mke mwee ye anataka kuonana bure bure tu tu hata manyama hamna jaman aseme natoa offer ya kuonana ukuje ule manyama unayotaka na kunywa unachotaka sio kuonana tu
Malta vipii??Ahahahhhh umeona eenh binamu halaf mtu anataka muonane tu bure bure atapambana na hali yake
Liniii na wapi alinisaidia mie zaidi ya kuniumiza tuMmmmh mbona huwa anakusaidia kupambana na hali yako
..Husna mpenzi wangu, nitachelewa kidogo, niko kwenye kikao cha kuwapongeza walioteuliwa jana. Natamani ungekuwa hapa lakini utakunywa nini sasa maana viinywaji vilivyopo ni vya walipa kodi, hakuna cha maji wala juice