Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mpigeni tu jamaanRishemeji rako rinareta mausumbufu tu
Rikirudia tena ritakura virungu vya ugoko( kwa sauti ya riafande)
Mpigeni tu jamaanRishemeji rako rinareta mausumbufu tu
Rikirudia tena ritakura virungu vya ugoko( kwa sauti ya riafande)
Binamu asante sana lakini una nini jaman mbona anko wako hayupo moshi halaf umepiga dongo kiaina hapo eti nina moyo wa uvumilivu aiseeMuziki: Huchoki Kusikiliza
Sitaki kusema sana leo, na nikishakusalimia tu naweka muziki ambao hauchoshi kusikiliza maana una jumbe nzuri na vyombo vimepangwa kwa ustadi mzuri. Sijaongelea sauti hapo bado, sauti ya studio ni tofauti na sauti ya mjomba wangu ambaye bila kuuma maneno ana sauti kama 700 na kila moja inaendana na nyumba zake nyingi. Inategemea muda huo atakuwa anaongea na nyumba ipi. Usishangae, huyo ndo mjomba wangu.
Sijaanza kukusalimia, nina salamu ndefu kama reli na kwa kuwa serikali inajipanga kujenga reli wanaiita SGR basi salamu yangu itakuwa fupi sana. reli ya mwendo kasi. Hebu ngoja kwanza, hivi hii reli imeshaanza? Maana anko wangu yule mdogo wa dar, sio huyu aliyeamua kuweka makazi Moshi mjini. Alisema reli ipo, ndo wanaijenga. Sijui kama ni kutaka kutudanganya au nini, mteja hajali masuala ya kiufundi, kama hii reli ni mafdanikio mbona hatuioni kwenye 'barabara' yake?!!
Muziki sasa, asante shululu kwa magazeti, asante mpenzi wangu husna muba kwa hadithi, asante Shunie aunty yangu ninayependa kukuona unafurahi kila wakati maana una moyo mvumilivu. Asante BlessedHope kwa sala za wakati wote, yaani unatuombea wote hadi makaveli10 na zaidi, asante wewe kapuku unayekuwa hapa maana bila wewe jukwaa hili si chochote lolote popote
...sasa hivi ni usiku sana kukusalimia. Nitakusalimia asubuhi nikishajiswaki
Mr x uliipata wapi na Mimi nikaisake?!Shunie..
Umeamua kuifyata kule kule..
Ile ya Mr X na German Machine nilizitafuta hadi nikazipata..

nimemkumbuka baba d akiniitaga hivyo wozaaaaaaa cheupe wake mimi halaf baba d buana eti sijui ananijaribu sijui kurudi jf nimemwambia hakuna kurudi labda utumie id nisijue
kesho usijali nairudishaRudisha avatar tuliyoizoea
Naangalia movie eatv huyu chuchu hans anaitwa cheupe wake na mpenzi wakenimemkumbuka baba d akiniitaga hivyo wozaaaaaaa cheupe wake mimi halaf baba d buana eti sijui ananijaribu sijui kurudi jf nimemwambia hakuna kurudi labda utumie id nisijue

Shemela za jioniPoleni sana
Binamu asante sana lakini una nini jaman mbona anko wako hayupo moshi halaf umepiga dongo kiaina hapo eti nina moyo wa uvumilivu aisee
Umenipiga dongo binamu kwahiyo kule alipo kumekuwa moshi ghafla halaf binamu nilimwambia anko wako ukija nikutanishe basi na binamu obe kanijibu nikukutanishe wa nini kwahiyo hataki me nikujue kabisa......aunty, unajua kabisa siwezi kukupiga dongo maana wewe ni mtu muhimu sana kwangu. Kwani anko yuko wapi? Maana mimi simu yake imesomeka iko Moshi. Wewe kakudanganya yuko wapi?
Salama shemela wangu shikamooShemela za jioni
Wewe tena ningeshangaa usingeniquote kwenye hizo mambo shemela
Usisahau ujue waiba avatar sasa hivi wataitumiakesho usijali nairudisha
Marahabaaa shemela wangu, za nyumbaniSalama shemela wangu shikamoo
Salama sana shemela sijui huko ulipoMarahabaaa shemela wangu, za nyumbani
Huku kwema kabisa, sema mvua tu, jioni hii imenyesha hatariSalama sana shemela sijui huko ulipo
Muziki: Huchoki Kusikiliza
Sitaki kusema sana leo, na nikishakusalimia tu naweka muziki ambao hauchoshi kusikiliza maana una jumbe nzuri na vyombo vimepangwa kwa ustadi mzuri. Sijaongelea sauti hapo bado, sauti ya studio ni tofauti na sauti ya mjomba wangu ambaye bila kuuma maneno ana sauti kama 700 na kila moja inaendana na nyumba zake nyingi. Inategemea muda huo atakuwa anaongea na nyumba ipi. Usishangae, huyo ndo mjomba wangu.
Sijaanza kukusalimia, nina salamu ndefu kama reli na kwa kuwa serikali inajipanga kujenga reli wanaiita SGR basi salamu yangu itakuwa fupi sana. reli ya mwendo kasi. Hebu ngoja kwanza, hivi hii reli imeshaanza? Maana anko wangu yule mdogo wa dar, sio huyu aliyeamua kuweka makazi Moshi mjini. Alisema reli ipo, ndo wanaijenga. Sijui kama ni kutaka kutudanganya au nini, mteja hajali masuala ya kiufundi, kama hii reli ni mafdanikio mbona hatuioni kwenye 'barabara' yake?!!
Muziki sasa, asante shululu kwa magazeti, asante mpenzi wangu husna muba kwa hadithi, asante Shunie aunty yangu ninayependa kukuona unafurahi kila wakati maana una moyo mvumilivu. Asante BlessedHope kwa sala za wakati wote, yaani unatuombea wote hadi makaveli10 na zaidi, asante wewe kapuku unayekuwa hapa maana bila wewe jukwaa hili si chochote lolote popote
...sasa hivi ni usiku sana kukusalimia. Nitakusalimia asubuhi nikishajiswaki
asante na wewe kwa muziki
Huku kwetu mvua toka asubuhi shemelaHuku kwema kabisa, sema mvua tu, jioni hii imenyesha hatari