Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kazi kwenu wapenda kope za bandia

Daktari Muhimbili aeleza jinsi KOPE ZA BANDIA zinavyofanya WAREMBO kuwa vipofu

Daktari Bingwa wa Macho na Mkuu wa Idara ya Macho katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dkt. Baruani Mtemi Sufiani amesema kuwa Kope za bandia zinamadhara makubwa sana kiafya katika macho. Bofya hapa kutazama video >>>

Dkt. Buriani amesema kope za Bandia zimetengenezwa na Kemikali ambayo husababisha muwasho katika macho kisha mikwaruzo ambayo baadaye hutengeneza vidonda ambavyo baada ya kutibiwa hubakisha makovu.

Ukubwa wa makovu hayo husababisha uoni hafifu au kushidwa kuona kabisa. Bofya hapa kutazama video >>>

Amesema kumekuwa na wadada wengi wanaoweka kope za bandika wakiona kuwa ni urembo bila kujua madhara makubwa yanayoweza kusababishwa na kope hizo, hivyo amewataka kuacha kutumia ili kujiepusha na madhara hayo na badala yake wabakie na kope zao walizoumbwa nazo.

Dkt. Buriani amesema kumekuwa na wagojwa wengi ambao wanafika katika hospitali ya Muhimbili wakiwa na tatizo hilo na amekuwa akiwashauri kuachana na kope za bandia. Bofya hapa kutazama video >>>
 
Wenye rangi zao za pepsi mirinda
6aeb37f4dc5353147ac0a7a05a28af7c.jpg
 
Hivi empire hayumo kwenye list??
Asanteni na mungu awabariki
Watuachieee linguchirooo letuuuu cha wengiiii

Mzaramo wetu hajalegea lakin.. anajya kuwapanga.

Mpira wa kona huo, ukitia kichwa tu bao..

Yuko vizuri ...wewe vipi au upo kwenye acknowledgement

Tena bao swaaaafiiiii unalisikiziaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom