Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tunaongelea 29k na hatujawahi kwenda kinyume na makubaliano, sasa how come we mwenzetu uende ukajifanye ndo msemaji wa Makapuku tena nje ya KF???
Serious unasema eti tumeanza kujiona mastaa??? Kwani ungepiga kimya kama sisi ingekuwaje?
Mkuu Mbulu tafadhali nakuomba njoo huku tuyajenge yaliyobomoka.
Jamaa katusema vibaya huko pembeni na ushahidi nimeweka hataki kukubali wala kuomba radhi analeta uzushi uzushi tu anafikiri sisi Makapuku hatujielewi au hii thread sawa na thread zingine
Mwambie a jirekebishe sio kusema Ameen
...............

mjibu mpumbavu sawa na upumbavu wake, full stop
 
4753a89a4d816a245fcbfc173537a829.jpg

:
...............
 
Sana ila ifike mahali tusifuge maradhi, mtu akileta usnitch huko mtaa wa 7 kisha anakuja hapa anajifanya ye bikira maria anaambiwa ukweli sio kumlea lea tu na kufuga maradhi
hili naomba lifanyiwe kazi tafadhali
Halafu anajifanya haambiliki...kuomba tu radhi yaishe a naona ishu yaani EVIDENCE ipo wazi halafu mtu analeta mbwembwe tu....inaboa
....................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom