Makapuku Forum

Makapuku Forum

Halafu anajifanya haambiliki...kuomba tu radhi yaishe a naona ishu yaani EVIDENCE ipo wazi halafu mtu analeta mbwembwe tu....inaboa
....................
Inaboa sana kwakweli, mi sipendi tabia za hivyo sana,
Watu wote tunakosea ila ukiona umeteleza unaomba radhi unajirekebisha life inasonga yanini kukaa na vinyongo??
Mbona si wengine tukikosa huwa tunaomba radhi ??
 
4753a89a4d816a245fcbfc173537a829.jpg

:
...............
Yanga moja wao 0
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom