Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Wewe mpigiee banaJamaan ni mzima
Wewe mpigiee banaJamaan ni mzima
Huyo jirani ni me au ke?!Nimeiboresha binamu. Yule jirani kakaa hapa pembeni anaburudika na bakulutu
KeHuyo jirani ni me au ke?!
Khaaaaaaa hapatikanikiWewe mpigiee bana
Sijalewa bado, chupa ya kwanza ilikuwa chungu kiasi lakini hii chupa na tano nadhani muhudumu anaweka sukari si kwa utamu huu wallah
hata
mi naona
bado hujalewa kabisaa
JamaaaaaaaniiiiKhaaaaaaa hapatikaniki
Kapata BKwa nini apate alama c
Binamu shkamoo nakupa taarifa tu kuku wangu anakuja![]()
....shikamoo siku ya ijumaa inaniharibia michakato yangu, leo hatujuani tunapeana hi tu basi.
Hongera sana kwa kuahidiwa kuku mmoja, CM keshapelekewa wawili. Mmoja anataga, kwa hiyo kesho wakati wewe unahangaika kuchinja yeye anapasua yeye akaange

Sijakuuliza wewe lakini
Ye yuko mbali sijamuuliza afu niliangalia vibaya
Kumbe ana A mbili ya hisabati na kiswahili,ana B mbili ya english na sayansi na c ya maarifa
Hapo vp?
....shikamoo siku ya ijumaa inaniharibia michakato yangu, leo hatujuani tunapeana hi tu basi.
Hongera sana kwa kuahidiwa kuku mmoja, CM keshapelekewa wawili. Mmoja anataga, kwa hiyo kesho wakati wewe unahangaika kuchinja yeye anapasua yeye akaange

Jamaan ni mzima
Huyo jirani ni me au ke?!