Makapuku Forum

Makapuku Forum

....shikamoo siku ya ijumaa inaniharibia michakato yangu, leo hatujuani tunapeana hi tu basi.

Hongera sana kwa kuahidiwa kuku mmoja, CM keshapelekewa wawili. Mmoja anataga, kwa hiyo kesho wakati wewe unahangaika kuchinja yeye anapasua yeye akaange
 
Jamaan ni mzima
giphy.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom