radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Wako vizuri
Sana mkuu
Wako vizuri
Morning, tumshukuru Mungu mkuu tumeamka salamaMorning mkuu
Amina ilo ndo jambo la maanaMorning, tumshukuru Mungu mkuu tumeamka salama
Amina ilo ndo jambo la maana
RAFIKI* *RAFIKI*
BlessYa sure mkuu
Mama shikamooRAFIKI* *RAFIKI*
- Urafiki ni sehemu ya maisha, hata gaidi ana marafiki.
- Urafiki ni hitaji la moyo wa mtu, sote tunahitaji marafiki katika maisha yetu.
- Japo urafiki ni sehemu ya maisha, kila mtu ana wajibu wa kuchagua aina ya marafiki.
- Si kila mtu anaweza kuwa rafiki yako.
- Urafiki hufaa mkiwa na nia moja.
- Rafiki hupenda sikuzote; Na ndugu amezaliwa kwa siku ya taabu - Mithali 17:17
- Msingi wa urafiki ni upendo.
- Pasipo upendo, urafiki ni unafiki.
- Urafiki ni kushirikiana, kusaidiana, kuboreshana, kuinuana, kutiana moyo, kuambatana, kufurahi pamoja n ahata kulia pamoja.
- Linalomuhusu rafiki yako linakuhusu.
- Kuna marafiki ambao waweza kuwa karibu nawe zaidi hata ya nduguzo, wathamini hao marafiki, hasa kama wanakupeleka pazuri.
- Mchunguze sana rafiki yako kabla hujampa nafasi moyoni mwako, kwani rafiki anaweza kuwa sababu ya kuangamia kwako.
- Jifanyie marafiki wanaoweza kukunoa, na unaoweza kuwanoa.
- Jiulize, huo urafiki wenu umekuongezeaa nini?
- Huo urafiki wenu umekusaidia vipi katika hatma yako?
- Zaidi ya yote, urafiki ni kuwa na ushirika.
- Urafiki ni kupeana muda wenu.
AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI![]()
Asante mshikajiKaribu mshikaji
Asante kushukuruAsante
Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Snoop mzee wa wida1971 - Snoop Dogg, mwanamuziki kutoka Marekani anazaliwa
R.i.p HOOVER1964 - Herbert Hoover, Rais wa Marekani (1929-1933) alifariki
eneo alilozikwa limebaki kuwa siri kubwa. R.i.p Gaddafi. Duniani wamepita watu.2011 - Muammar al-Gaddafi, rais wa Libya (1969-2011) alifariki
Pumzika kwa amani Anko J.2013 - Julius Nyaisangah, mtangazaji wa redio kutoka Tanzania alifariki
Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Snoop mzee wa wida
Pumzika kwa amani Anko J.
Umepotelea wapi mkuu?Pumzika kwa amani Anko J.