Makapuku Forum

Makapuku Forum

04c5d2314f2ce0b339807659999e02fb.jpg
 
Muziki: Shika Shikamana

Ni masaa machache tu tuifikie Furahiday, na kama hujua basi jua leo kuwa hii ya kesho ni siku tu kama siku nyingine katika wiki. hakuna kitakachobadilika na salmu yangu kwako Kapuku mheshimika itabaki kuwa kama ya siku zote. Wewe ni mtu makini ndo maana uko hapa na uwepo wako humu Jukwaani tunaufurahia na unalijua hilo.

Asante sana shululu kwa kubadili avatar, oh sorry kwa magazeti, mjomba wangu Lyon Lee kwa UF bila kumsahau wangu, mi amor husna muba kwa Historia na picha, nasikitika mara nyingi nashindwa kuweka picha katika kipengele chako ulichokimudu kikamilifu. Asante BlessedHope kwa kutukumuka katika sala zako, ujue nini, hili ni very pasono from me to you, unatufanya tujisikie vizuri.

Hakuna KF bila wewe makaveli10 , Gentries , Tumosa , moneytalk , Transcend , mzeewakungoa , Shunie , Mndali ndanyelakakomu , Mkushi wa kusi , na wewe ambaye nimesahau kukutaja hapa, mjue nini, uwepo wenu hapa KF unanifanya najisikia salama sana kama nimekaribishwa polisi kwenda kuwasaidia. Si unaujua ule msemo wao wa tunakutafuta uje utusaidie upelelezi au tunamhifadhi kwa usalama wake. Asanteni sana nyie watu.

Muziki sasa, wiki la reggae hili na nani kakwambia kwenye reggae hubambii kama hujambabikiziwa. Ukishika shikamana, sijui kama ni kushika au kushikwa, utatafakari mwenyewe maana usiku sasa

 
Muziki: Shika Shikamana

Ni masaa machache tu tuifikie Furahiday, na kama hujua basi jua leo kuwa hii ya kesho ni siku tu kama siku nyingine katika wiki. hakuna kitakachobadilika na salmu yangu kwako Kapuku mheshimika itabaki kuwa kama ya siku zote. Wewe ni mtu makini ndo maana uko hapa na uwepo wako humu Jukwaani tunaufurahia na unalijua hilo.

Asante sana shululu kwa kubadili avatar, oh sorry kwa magazeti, mjomba wangu Lyon Lee kwa UF bila kumsahau wangu, mi amor husna muba kwa Historia na picha, nasikitika mara nyingi nashindwa kuweka picha katika kipengele chako ulichokimudu kikamilifu. Asante BlessedHope kwa kutukumuka katika sala zako, ujue nini, hili ni very pasono from me to you, unatufanya tujisikie vizuri.

Hakuna KF bila wewe makaveli10 , Gentries , Tumosa , moneytalk , Transcend , mzeewakungoa , Shunie , Mndali ndanyelakakomu , Mkushi wa kusi , na wewe ambaye nimesahau kukutaja hapa, mjue nini, uwepo wenu hapa KF unanifanya najisikia salama sana kama nimekaribishwa polisi kwenda kuwasaidia. Si unaujua ule msemo wao wa tunakutafuta uje utusaidie upelelezi au tunamhifadhi kwa usalama wake. Asanteni sana nyie watu.

Muziki sasa, wiki la reggae hili na nani kakwambia kwenye reggae hubambii kama hujambabikiziwa. Ukishika shikamana, sijui kama ni kushika au kushikwa, utatafakari mwenyewe maana usiku sasa


Shukrani ankooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom