Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,278
- 35,633
Si kama kule ulikokua unafanya mwanzo kwa 3 bomba kila siku unatoka na free bomba 3
...unakumbuka pale ulipokuja kunipongeza ofisini nilipokuwa employee of the month, nikapewa tatu bomba box zima. Nilipokugaia na wewe ndo nikajiharibia maana jioni yake supervisor wangu alikuona na dada yake na 3 bombadia unazo