Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hawez kuwa na nyayoo kama zilee

Umemuonaaa lakiniii
Nakwambia mimi, huu ni unyayo wake, naujua vizur angekuwa kavaa viatu hapo sawa wangekuwa wakina shunie, tumosa, blessedhope na wengine.. ila huyu ni lovely mum tu.

Maana humu wasiovaa viatu ni wawili tu yrye na husna, sasa unyayo wa husna haupo hivi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom