Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Huyo kila siku akiingia mambo ni hizo hizoYy ndo kavurugwa zaidi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Obe anakuharibu
![]()
![]()
Obe anakuharibu
Hakuna njia hko
Nilijua ni mpendwa wako bwana mnanichanganya na avatar zenu.....umeona kaharibika? Kumbe unafanya kazi kwa mkemia, sikujua
![]()
Lee hayupo ametoka jf ebu kuweni waelewa basi akipata mda ataingia
Nilikuja mara moja shem narudi tena kulala
Ewaaaaaa lete na wewe vitu sio unalalamika hamna anayelipwa humu wala kulipiwa bundle

Inakuwaje chief!?Salama chief mwee
Hbd mc lyte..1971 - MC Lyte, mwanamuziki kutoka Marekani alizaliwa
AhsanteNa hapo ndio mwisho kwa Leo
Husobe
Vip hali shem lake!?Habari ya mchana huu wapendwa,poleni na ujenzi wa taifa
Hahaa.. haya, tuseme inshaallah bandugu yangu..Ahhahahah maka acha nilale uwe na usiku mwema Mungu azidi kukulindanitakuwa nae unafkili ataruhusu basi nikuje peke yangu yule kivuruge wangu hawezi
Sawa msubirie mpaka Yesu arudi atakuja kukujibuNimeongea na lee..
NitarudiHakuna njia hko
Shemela..Nitarudi
Duh!! Kaishatukimbia tena kimya kimya..Umesoma mwanzo nilivomjibu ?, hizi id zimeunganishwa na lee empire (bro ) hayupo tena jf na incase akiingia ataingia kwa hii
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Si umesema umeghailiii ?? Mbona umefanya ?





akili za usiku 
stress free zone wananiambia nitoe wanahisi kama wanapiga umbea na baba d