Ibrahim Msuya
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 572
- 1,264
Oyaaaa badaye kidogoo
Wasalimie aggrey huko ulipoOyaaaa badaye kidogoo
Nakuja saiviii naenda kulaWasalimie aggrey huko ulipo
Uje uweke vitu na wewe sio unakuja kulia lia tu mwanaume weweNakuja saiviii naenda kula
Habari yako bwana!Uje uweke vitu na wewe sio unakuja kulia lia tu mwanaume wewe
Sawa mke mweee mwenyewe nmeimalzia muda cio mrefu![]()
![]()
ndio nimetoka kuisoma
Chunya ipo songwe mkuuBad newz kuna nyumba zinaungua huko mbeya mkuu wa wilaya kaamrisha kuchomwa kwa nyumba hiyo ni kwa wale waliojenga karibu na eneo la hifathi
Ewaaaaaa lete na wewe vitu sio unalalamika hamna anayelipwa humu wala kulipiwa bundle

Muziki: Miaka ya 90 Nyanya Pensi
..siku naamini imeisha kwa uzuri kabisa, basi leo kwangu ilikuwa ni mkimbizano na mkomangano na mmoja wa wadai sugu wanaonidai. Kabla sijakupa kisa chenyewe wacha nianze kama bungeni baada ya dua la kuliombea bunge letu, natambua na ninakusalimia wewe Kapuku mheshimika na baada ya kukusalimia basi tunaendelea na shughuli za kawaida usiku huu. Shughulika usiku maana mazoea yana tabu, ukizoea kufanya usiku saa nne kwa mfano, ikigonga nne tu alarm inaita.
Basi bhana kabla sijasahau, huyu anayenidai kaniona leo akakumbushia deni lake miaka ya tisaini 90s wakati huo sina kazi na ninatambulika kama mtoto na yeye alikuwa tayari kijana na anajishughulisha na biashara sasa mimi nikamkopa nikitegemea nikipewa sadaka sunday skuli nitamlipa. Yaani hela ya sadaka nalipa deni, nadhani ni mpango wa Mungu, siku hiyo sikuwa sadaka, deni liko pale pale na leo ndo tunaonana na mdai akaniita mdaiwa sugu. To make a boring story short, nikampiga mzinga tena maana alikuwa na bajaj so anipeleke home na mwisho wa mwezi nitamlipa maana siku hizi nimeajiriwa.
Muziki sasa, miaka ya 90 uliingia mtindo wa nyanya pensi, well that time sijaja mjini lakini nilikuwa najua kusoma na home tulikuwa na redio nyumba ya jirani wana TV set na mapacha wa jirani mwenye TV wananitaka kila mmoja anasema the boy is mine kwa sababu nilikuwa maarufu kwenye soka nikampenda Kulwa maana akivaa nyanya pensi hahitaji kujaladia.








Hapana mke mwee ni huyo mzee wa aggreyWote mke mweee![]()
![]()
![]()
Lee hayupo ametoka jf ebu kuweni waelewa basi akipata mda ataingiaLee eeh je wajua tuirudishe bwana..