Kumbe anko hili gome nalo ni lako kweli ?...nimemuona tu Maka throwing kisses to my apple pie husna muba utasema anko Magu akipiga pushups kwenye kampeni.
Ila ujue nini, Husna na mimi yaani Husobe ni ngumu sana kututenganisha, at least for now. Hivyo usiogope sana aunty na ninashukuru kwa kuliona hilo
Utamu wangu anakula mmoja tu hana sub uyoShart la kwanza anko obe ndo anaonja kwanza
Mmh shem ebu njo kwanza ujue unaniambia kwa code hii mara ya 3 sijui ebu niambie ukweliUchovu wa safar najua unakusumbua
Usimtie presha mpenzi wangu banaa
Au wewe unaweza bila kufundishwa?Eh!! Eh! Eh!!tayari kukaa bench kama mambo yenyewe ndio hayo
Nabisha mpaka naubishia ubishi mwenyewekwahiyo unabisha eti
Na ole wako usiweke hiyo pic nakushtakiiiiii hata akitekwa na wanawake binamu nini mwanamke mmoja ukiona hivyo ujue ni rijali....anko wangu mkubwa ana tabia kama za mdogo wake, tunafanana sasa si unajua mambo ya ukoo tena mjomba.
BTW, anko mkubwa, yule anko wangu aliye rafiki yangu kabisa, sio wewe maana wewe tunakuitaga Robert Mugabe kwa kupenda dogodogo.
Yule anko wangua anayejulikana humu katekwa na mwanamke asiyejulikana, nitaweka picha
WalaaaMmh shem ebu njo kwanza ujue unaniambia kwa code hii mara ya 3 sijui ebu niambie ukweli
VidumeeeAtakua anko wako mkubwa
Tusalimiane kwanza anko ujue hii dunia gunia na raha ya dogodogo inanoga ukiwawahi hajapokea bumu wale first year ...unakumbuka yule uliyemuomba anko wako mkubwa wakusaidie regist nikamsaidia mm kwa niaba yake niliona faida
Wachaaa shemNa ole wako usiweke hiyo pic nakushtakiiiiii hata akitekwa na wanawake binamu nini mwanamke mmoja ukiona hivyo ujue ni rijali
Huyo hawezi kuwa na presha hizo mambo kashazoea ana list yake akianza na mama ashura mvaa nini sijui bado muuza chapati na yule muuza supu akiwapanga kutoka mtwara mpaka dar wanafika
Asante binamu...nimemuona tu Maka throwing kisses to my apple pie husna muba utasema anko Magu akipiga pushups kwenye kampeni.
Ila ujue nini, Husna na mimi yaani Husobe ni ngumu sana kututenganisha, at least for now. Hivyo usiogope sana aunty na ninashukuru kwa kuliona hilo
Nan na nan?Vidumeee
Yaan umenifanya nikumbuke mengina hii imekugusa au ??
Moshi nako kumbe...Dar hawafiki bhana, wakifika chalinze wanachepuka unawahesabu kuanzia hapo hadi Kishumundu Moshi. Hapa nataja trip za 'kikazi' wakati niko kwenye mbio za mwenge
....unadhani presha tu, tayari nishapata kipandauso na kwikwi. Ninahitaji maelezo ya kujitosheleza maana nina moyo mimi pia
Kwahiyo mm sio kibibi gagulaNabisha mpaka naubishia ubishi mwenyewe