Makapuku Forum

Makapuku Forum

Walahiiiii jamaa alifungua sana akili za wengine kuanza kuwaza nje ya box...hivi naye alikua dwanzi wa dizaini gani utoe mawazo fikirishi alafu unashindwa kuitambua nakujua thamani ya K watu wengine bwanah shida tupu

Apo kwenye kubana kwani uongo utamu kunoga ukisoma vizuri??
Nadhan akili nyingi zilimponza, alivuka centuries akaja kuunasa huu msemo wa gleda kuchonga barabara wengine wapite..

Ila angekuwa na akili km zangu, k ningeifanyia majaribio hata mara zote, majaribio kama yote yaani!!
 
Walahiiiii jamaa alifungua sana akili za wengine kuanza kuwaza nje ya box...hivi naye alikua dwanzi wa dizaini gani utoe mawazo fikirishi alafu unashindwa kuitambua nakujua thamani ya K watu wengine bwanah shida tupu

Apo kwenye kubana kwani uongo utamu kunoga ukisoma vizuri??
Ni kweli bhana, ikibana, teh teh teh.. ikiwa loose zike effect za k huzipati vizur.. ila ni vizur bolt ikawa kubwa ili ipate kufiti katika nut zote.. ikiwa ndogo lubrication ipoo

Eenhee.. ona newton alivyokuwa nux akasema kabsa vitu vinavyosaidia katka friction ni lubricats, alijua kabisa umuhimu wa lubricants, iwe artficial au natural lubricant.. halaf akazungumzia vigoroli..

Ila hapa kweny lubricants hapa.. ndio kanikosha zaid.. jamaa ni so genius yaan k ili inoge lazima uandae maandalizi, ipate lubrication, upate slope, uioneshe k, mambo kitonga, heat n noise zutatokea, ukizidisha sana tearing(michubuko) inachukua nafasi yake

aithee newton ni nyokoo thaana
 
Ni kweli bhana, ikibana, teh teh teh.. ikiwa loose zike effect za k huzipati vizur.. ila ni vizur bolt ikawa kubwa ili ipate kufiti katika nut zote.. ikiwa ndogo lubrication ipoo

Eenhee.. ona newton alivyokuwa nux akasema kabsa vitu vinavyosaidia katka friction ni lubricats, alijua kabisa umuhimu wa lubricants, iwe artficial au natural lubricant.. halaf akazungumzia vigoroli..

Ila hapa kweny lubricants hapa.. ndio kanikosha zaid.. jamaa ni so genius yaan k ili inoge lazima uandae maandalizi, ipate lubrication, upate slope, uioneshe k, mambo kitonga, heat n noise zutatokea, ukizidisha sana tearing(michubuko) inachukua nafasi yake

aithee newton ni nyokoo thaana
Mimi narudia tena...

Malaika anawaona
 
Inshort utapanda cheo kutoka mwanafunzi mpaka FUNDI na utawapata wengi wa kuwasaidia alafu uzurii ile unapiga kibooklet cha kwanza cha pilii tatu na kuendelea mbona watasimuliana
.. ukiwa fundi wa kupata K, vilaza kibao watajileta uwapigie, kwenye ubora wangu nikikuwa nawaangushia tu mambo.. hasa topic ya friction na elasticity, nilikuwa nazichanganya kwa pamoja halaf nawagongea na practical.. eehh.. physics wee ulinipa ufundi mie bado mdogo thaana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom