Duh!! Basi aipige chin, nahis setting tuu mie niliitumia kitambo ikanisaidia kichiz, hakuna cha ads wala bibi yake ad.
Labda wameichakachua..
Anasema hajawahi kuroot simu na anaogopa kurootMwambie ajaribu adblock plus, adway, kuna lucky patcher..
Ila muulize kama simu yake ameiroot au lah!!
Jana umekula sifa kinomaaa kuwa ndo mkomboz wake sasa naona anajutiaaLabda wameichakachua..
Dah.. basi kazi anayo.Anasema hajawahi kuroot simu na anaogopa kuroot
Jana umekula sifa kinomaaa kuwa ndo mkomboz wake sasa naona anajutiaa
Sifa usifiwee wewe kuchomwa nichomwe mm hapanasifa zangu zilikuchoma eehh!!!
Eti bora yaendelee hataki kurudi kutumia werevaaaaDah.. basi kazi anayo.
Sio tabia yangu hiyo
Sio tabia yangu hiyondo maana mm mwenza wangu namuitaga majina yenye thamani kidogo sio kama hayo yenu ya chocolate na my potatoes wakati dukani ata buku tano haifiki
Uliza wangu namthaminisha na yapii
Kuna siku kwenye lipantoniiii la uko kwenu nilikaa na wewe karibu kama nilisikia unamcall swty potato wakat muunganiko wake ndo unatengeneza kiepe buku jebawe wapi uliona namuita goma langu bei za 250.. au unakujaga kupiga chabo dirishani!!?
Kuna siku kwenye lipantoniiii la uko kwenu nilikaa na wewe karibu kama nilisikia unamcall swty potato wakat muunganiko wake ndo unatengeneza kiepe buku jeba
Hiiii mama kwani yeye alikupataje jamaniii mbona anakufundisha roho mbayamuongo wewe kwanza mie sina goma, mama kanikataza michezo hyo, muulize shunie,we jamaa ni muongo, halaf pale huwa sipandi pantoni, huwa navuka kwa kuogelea...