Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Kho kho khoTangu lini nilisema shemeji
Kho kho khoTangu lini nilisema shemeji
Pole mpenzi, nikupe nini mamaaKikohozi kimebana sweety
Lingine hiloJaribu kuweka http filtering on..
Juzi bhanaTangu lini nilisema shemeji
Fanta mama ya baridiiiiiPole mpenzi, nikupe nini mamaa
MbutaaaFanta mama ya baridiiiii
Hii ni snooze..Lingine hilo![]()
Hii ni snooze..
Wacha nifanye mpango wa kuipakua, maana sijaitumia kitambo na kila nikijaribu kuipakua kwa google chrome inagoma, wacha niifanyie kazi ikikubali ntakupa maelekezo kamili best
santee maka
Umedownload toka playstore eehh..santee maka
Nop sijadownload play storeUmedownload toka playstore eehh..
Ooohh.. oky, nilidhan playstore maana playstore lazima zizinguke kwa manufaa yao ya kibiashara..Nop sijadownload play store
Sawa makaOoohh.. oky, nilidhan playstore maana playstore lazima zizinguke kwa manufaa yao ya kibiashara..
Ntajitahid niipakue km itakubali, katk simu yangu hii imegoma kabisa, nilitumia kitambo mnoo..
Shemela unapenda Fanta weweFanta mama ya baridiiiii
Me si mtoto wa kike lazima nipende kitu kitamuShemela unapenda Fanta wewe
Jibu kwanza swali shemela, ndo uulize swali![]()
![]()
inahusiana na ninii mimi kutaka fanta na mimba
SinaaaaJibu kwanza swali shemela, ndo uulize swali